mmumeshaanza na ulaji rushwa je,kama mnapenda kampikieni chai,Kambarage aliwahi waambia wapambe wa EL na akamuuliza we kijana kwa muda mfupi umepata wapi hela ya kujenga haya mahekalu huku akimuonyesha picha za majumba yake likiwemo alopongisha ubalozi wa sauzi enzi hizooo,pia muulizeni mzee Sabodo alivyomkurupusha huo jamaa yenu wakati alipokuwa wizara ya ardhi alipotaka kunyang'anya kiwanja ilipo upanga nursery kwenye makutano ya Maktaba na bibi Titi rd ,hicho kiwanja EL alitaka kumpa Abdul wa CMC motors,huyo ndio mchapa kazi,uchapakazi wake ulikuwa wakuchagua alikuwa anangalia nani wa kumfokea kama ni swahiba wake alikuwa hafanyi lolote-tuondoleeni porojo zenu za kutaka kusafishana hapa