Mazuri ya Edward Lowassa

Mazuri ya Edward Lowassa

Lowassa ndio kiongozi pekee aliyeongoza kwa mafanikio makubwa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC) katika kipindi ambacho Jumuiya ya Afrika Mashariki ilikuwa ikikabiliwa na changamoto nyingi za kisiasa, kiuchumi na kijamii.
 
Annael,
Hata uwe na uwezo mkubwa kiasi gani wa kurusha jiwe angani....lazima lirejee ardhini! Good day!
 
1.Hapendi mademu kama mr.Dhaifu
2.Anaweza kukunua magazeti yote isipokuwa MWANAHALSI kama litatoka jail.
3.Amesomesha watoto na kuweza kuwapa ajira kwenye AJIRA nzuri
4.Aliweza kuongea dk 7 tu NEC ya CCM mambo yakabadilka na wana ccm wakaanza kumwona anajua kujitetea.
5.Haropoki hovyo kana NEPI ndo maana siri ya RICHMOND kaibania hadi leo
 
Aliweza kusababisha mkwewe Sumari ashindwe vibaya ubunge, hasa alipopiga kampeni kwa kuwaambia wapiga kura, '' HAPO VIPIIIIIIIIIII, HAPO SAWA.
 
Alikuja Vijijini kwetu Zanzibar na kukagua maendeleo na kukutana nasi katika kanisa na Mwanakwerekwe mara 6 au zaidi kwa mwaka, tangu aache kazi hatumwoni tena Wazili Mkuu akija Zanzibar na sasa tunaonewa zaidi.
 
Edward Lowassa ni Fisadi Papa!

Edward Lowassa alituletea Mvua za Kisanii za kutengenezwa kutoka Thailand

Alianzisha shule nyingi za kata na kuuwa elimu Tanzania
 
1.alifanikisha zoezi la richmond kwa ufasaha mkubwa sana hadi kodi za wananchi zikawa zinatumika kumlipa 152mio/day
2. akiwa waziri wa mifugo amefanikiwa kujimilikisha lanch za taifa kwa ufasaha mkubwa
3.akiwa waziri wa ardhi amefanikiwa kujimilikisha viwanja na ardhi ya kutosha
4.

Alifanikisha kujimilikisha nyumba za AICC Arusha kifisadi
Alishindwa kutetea ukwasi mkubwa mbele ya nyerere alipotaka kugombea urais mwaka 1995
Alifanya kazi kubwa kukusanya pesa ili amng'oe kikwete mwaka 2010
 
walamba miguu hawa lowasa lowasa lowasa ukikaa kidogo utasikia Pasco lowasa ukigeuka huku anael ukigeuka quarz
mnalipwa ngapi nyie vijana mtaombwa na vi ngine mtoe kwakutetemekea watu nyie
 
Last edited by a moderator:
Ni kiongozi pekee hasiye ogopa vita!
Na amemsaidia sana kuongoza nchi hii, bila yeye nchi hii ingeyumba kabisa!
Tuko tayari kiakili na kisilaha kuingia vitani na malawi- El
 
Lowassa yumo kwenye list of shame iliyotolewa Mwembe Yanga na Dr Slaa
 
Kaniki ata uisugue vp haiwezi kubadili rangì yake ,ndiyo km el hata mumsafishe vp huyu ni fisadi tu tena fisadi mkubwa,mfikishie salamu zake km kakutuma umsafishe humu jamvini
 
Watu wera weraaaaa, Urais huu unatesa sana watu!
 
walamba miguu hawa lowasa lowasa lowasa ukikaa kidogo utasikia Pasco lowasa ukigeuka huku anael ukigeuka quarz
mnalipwa ngapi nyie vijana mtaombwa na vi ngine mtoe kwakutetemekea watu nyie

chezea fisadi, ananunua kila mtu.
 
Last edited by a moderator:
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni,kiukweli Mh.EDWARD LOWASSA ni kiongozi thabiti kabisa hasa katika

  1. Usimamizi
  2. ufuatiaji
  3. uwezeshaji.
  4. uvumilivu
  5. ushupavu/jasiri
ikimbukwe kuwa kila binadamu ana madhaifu yake,hivyo kwa wale ambao walikuwa chini yake wali-take advantage ya (1-5) hapo juu kumdhoofisha kisiasa,but he is a good leader.Cha msingi hapa si kumsafisha kwani anayejua kwamba yeye sijui ni fisadi ni mwenyezi Mungu tu na isitoshe huyu Mh. akiwa Rais sidhani kama watumishi wa umma watafanya ufisadi
kwa sababu heshima atakayopewa natumaini atailinda kwa gharama yoyote na kuwawajibisha wale wote watakaojitokeza kuichafua serikali yake.
 
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni,kiukweli Mh.EDWARD LOWASSA ni kiongozi thabiti kabisa hasa katika

  1. Usimamizi
  2. ufuatiaji
  3. uwezeshaji.
  4. uvumilivu
  5. ushupavu/jasiri
ikimbukwe kuwa kila binadamu ana madhaifu yake,hivyo kwa wale ambao walikuwa chini yake wali-take advantage ya (1-5) hapo juu kumdhoofisha kisiasa,but he is a good leader.Cha msingi hapa si kumsafisha kwani anayejua kwamba yeye sijui ni fisadi ni mwenyezi Mungu tu na isitoshe huyu Mh. akiwa Rais sidhani kama watumishi wa umma watafanya ufisadi
kwa sababu heshima atakayopewa natumaini atailinda kwa gharama yoyote na kuwawajibisha wale wote watakaojitokeza kuichafua serikali yake.
 
Back
Top Bottom