Mazuri ya Edward Lowassa

Hivi ina maana Waziri Mkuu huwa hakutani na hao wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, ama Wakuu wa Mikoa kwanza kwenye mikutano ya viongozi pekee kupata briefing na kuuliza maswali kabla ya kwenda mbele ya wananchi? Kama viongozi hawafanyi hivyo basi hilo ni kosa la kiutendaji.

Mwalimu mkuu hawezi kuja kugombana na mwalimu au hata Head Prefect mbele ya wanafunzi. Wakiwa Public wote wako kwenye upande mmoja...wakiwa kwenye closed doors huo ndio muda wa kuuliza maswali na kukataa risala, na hata kukunjana mashati wakipenda.

Halafu hii tabia ya PM kuwashukia "vidagaa" (wenyeviti wa vijiji, makatibu kata, makatibu tarafa, wakurugenzi, na wakuu wa wilaya) wakati kuna "ma-papa" yamejaa hapo Dar kwenye wizara na sehemu nyingine nyeti za Serikali kama vile BoT, TRA, TANESCO, Kwa bwana Hosea, n.k. its simply showing kwamba he doesn't know his borders.

Hivi PM unapowafuatilia ma-DC, ma-RC wao wanafanya nini?

Nakubaliana na wewe
 
mbona kama risala siku ya kuaga marehemu?jamani mjifunze jinsi ya kuweka profiles za watu walio hai
 
Baada ya Edward Lowassa kusifiwa na rais Magufuli kuwa ni Superman, namdurufu kidogo Lowassa kwa kujikumbusha niliwahi kusema nini kuhusu mtu huyu.
P
 
Back
Top Bottom