commited
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 1,622
- 872
Heri ya mchawi, kuliko mnafiki kama lowasa, kwanini mpaka leo amekaa kimya juu ya ukweli wa richmond.. Hana lolote ni mwizi tu huyo, kama si mwizi kwanini alikubali kujiuzuru.... Hujajifunza tu kilicho mpata arumeru yeye na mkwe wake, endeleeni kujidanganya na lichama lenu la wezi, wazinzi, na wachawi kila siku kwa waganga, mnadhani ikulu ni mahali pa kuchezea tu mpaka waganga wa kienyeji mnawaweka katika payrol ya kila mwisho wa mwezi kwa sababu ya kumganga dhaifu wenu na mavirus yake... Pole zenu, mungu wetu si kiziwi. Lowassa hana tofauti, mwakyembe au, mwandosya... Ni wanafiki watupu.