Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
Mkuu Gamba la Nyoka..kama kiongozi anashindwa kazi kwa nini asiwe let go?
hii ni good idea nakubaliana nayo, ila tatizo ni moja mwenye uwezo wa kumfukuza mkuu wa wilaya ni raisi peke yake, waziri mkuu anaweza tu kumshauri raisi. lakini Waziri mkuu anayo mamlaka ya kumuajibisha mkuu wa wilaya katika mambo mengine, sasa kama alivyofanya Lowasa hapo ni kuita "spade a spade",hapa hakuna cha kumuonea huruma mkuu wa wilaya, kwenda katika ziara ili kupewa information za uwongo/zisizo na substance halafu na wewe ukae tu unasikiliza wakati una power ya kukemea na kufuatilia mimi silikubali hata kidogo
unajua something is better than nothing, kukemea mbele ya wananchi viongozi wabovu halafu baada ya hapo ukafuatilia zaidi utendaji wao kwa ukaribu ni bora zaidi kuliko kufanya mambo kimya kimya.
ni lazima viongozi wetu wakumbushwe majukumu yao kwa dhahiri na siri.period