Mazoezi Nyumbani mechi ugenini

Mazoezi Nyumbani mechi ugenini

Ushindwe na ulegee katika jina la Yesu
halafu wale wanakupangia zamu ya kupika,ngozi zao zinanuka pia hawaogi wiki nzima hata wakiwa kwenye bleed,hawajui kupika mchuzi,hata pilau lile jeusi la ovyo ovyo hajui,akipigwa na jua hio harufu utamkimbia kwa kweli usioe,

Afadhali hiyo, maana kila mwanamke nikikutana nae tukabadilishana namba, ndani ya dk 5 napigwa kizinga,unakuta "my naomba nitumie 5000 ya vocha".......
Sijui wananionaje .....
 
Uliona lile jicho la bibi harusi wa kiba kwa prince wetu,haki yule atamtesa mwanetu
[HASHTAG]#aachike[/HASHTAG] tu kwa kweli hatutaki atutesee mwanetu
We mwanamke, umeanza kumuonea wivu hadi kiba na mimi nipo?
Naenda Rwanda karibuni!!
 
Kweli hali mbaya kama hadi tunapangiana pa kuolea hakika kuna maombi ya toba yanahitajika. Eti makonda aingilie kati ili afanyaje?
 
Ongea point ueleweke, yani umeandika pointless, mapenzi yapo kokote na wote ni binadamu, jifunze kutumia lugha nzuri JF,
 
Back
Top Bottom