D
Deleted member 485868
Guest
Wende rwanda na sisi tunaenda brazil
Sawa, Mkuu! Nendeni zenu Brazil, Sisi tunatua hapa kwa Kagame. Watoto wa Kagame ni wavumilivu sana pia ni watii halafu wanatuelewa sana.Wende rwanda na sisi tunaenda brazil
Sawa wawaelewe tu kwakweli..ila msianze kupishana kwa menu za Mama ntilieSawa, Mkuu! Nendeni zenu Brazil, Sisi tunatua hapa kwa Kagame. Watoto wa Kagame ni wavumilivu sana pia ni watii halafu wanatuelewa sana.
Nakumbuka wakati sijatulia niliwahi kudate na mnyarwanda ,ilikuwa kabla ya mechi lazima awe na kitambaa cha kufuta maji.Hao hao wana maji kama mito
Ulichokiongea ni kweli kabisa.Nina Marehemu dadangu alikuwa anaumwa akasikia Burundi kuna dawa alivyopata nguvu akaenda,kila nkimpigia analalamika mavyakula mabaya jamani hawajui kupika,kila siku kilio chake hicho,maskini mpaka akafariki,kuna wanyarwanda nlikuwa nafanya nao kazi kuku,mayai dagaa alikuwa hajui na hajawai kula (akitoka kwao anakuja na unga wa ulezi sijui ndo wanapikia ugali kwao alivyokuja nao nikawafundisha kupika uji mwe mwe mwe nlijiroga wote wakajipanga wajifunze kupika uji),wachoyo jamani
Embu wanaume zetu bakini huku tuwakarangizie
Hahahahaha godoro halikuozaNakumbuka wakati sijatulia niliwahi kudate na mnyarwanda ,ilikuwa kabla ya mechi lazima awe na kitambaa cha kufuta maji.
Kumbe ulikuwa unanilaghaiUlichokiongea ni kweli kabisa.
Ukitaka mapishi oa mwanamke wa Kitanzania.
Mimi nilipata mzungu wa kuoa kabisa na akawa ananililia lakini.
Hakuna mwanamke km mwanmke wa kitanzania.
Nimeoa nyumbani Tanzania
Ulichokiongea ni kweli kabisa.
Ukitaka mapishi oa mwanamke wa Kitanzania.
Mimi nilipata mzungu wa kuoa kabisa na akawa ananililia lakini.
Hakuna mwanamke km mwanmke wa kitanzania.
Nimeoa nyumbani Tanzania
Nifungulie pm kuna kitu nataka nikuambie babeKumbe ulikuwa unanilaghai
Haahhahah sitaki matatizo na waume za watu,japo najua ni wauke zetu woteNifungulie pm kuna kitu nataka nikuambie babe
Wewe sio mzalendo.Haahhahah sitaki matatizo na waume za watu,japo najua ni wauke zetu wote
Mimi ni mzalendo sana tu ila ushaoa tayari tulia na mkeo mbona kivuruge sana,Wewe sio mzalendo.
Angekuwa mkenya kakuomba namba tu ungeitoa fasta
Acha hizo. Nani kaoa? Muulize Mzigua90 mbona anakuja geto daily kupata mjegejo kama ningeoa angekujaje sasaMimi ni mzalendo sana tu ila ushaoa tayari tulia na mkeo mbona kivuruge sana,
Nani mwingine nimemtaka?Ngoja aje athibitishe maana we kila mtu unamtaka humu



Siku hizi unaniotea sana!!swthrt nenda tu Rwanda najua utarudi hapa,remember jana nlikuambia nini
