Mazoezi Nyumbani mechi ugenini

Mazoezi Nyumbani mechi ugenini

Hahahaha basi kama huwa nakuchekesha vizurii ,na zile dawa za mbu za zamani za duara unazikumbuka ziliitwaje?
Ndio mbaki nyumbani sie tunanukia kama maua yaan mnakimbikia mizoga

Hapana ulipe mahali kwanza ndio uanze mechi ili ukiseoa hatuna hasara
Mosquito coil...
 
Mtuachie waume zetu pambaneni na wanaume zenu wamelea kama mlenda
hamna anaewafata wanakuja rwanda..unaongea ukiwa hujui kuwa watz ni ndugu wa wanyarwanda ni mipaka tuu imetenganisha...Ila ukanda wa kagera, geita, shinyanga,kigoma wamejaa watz Wenye damu za kinyarwanda, kikongo na kirundi...usiogope ushindani just be better
 
Back
Top Bottom