katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,758
Hata mimi naolewa na mzungu nachezea wotee halafu nakuja na mzungu hadi jf watuone halafu wataandika uzi wenye picha jueni ukizalishwa nje kamwe huingii ndani kamwe.
Kwa sababu wachimba chumvu hawana access ya kukutana nao.Aahh!wapi!wanatulizwa na pesaaaa!!!hakuna lolote!!!kama kweli wanawapenda mbona hawaolewi na wachimba chumvi!wanafuata wenye majina yao mjini!!!![]()
![]()
![]()
Kwa sababu wachimba chumvu hawana access ya kukutana nao.
Ila mwanamke yyte wa nje hawez kushindwa kumkubali mwanaume wa kitanzania.
Yaan ushindwe hata kuoa mmlawi kweli!!
unataja mataifa ya hovyoooo!!!Hahahaha![]()
![]()
unataja mataifa ya hovyoooo!!!
Hahahaha
Nje ni nje tuuu
Nacheza na uwezo wangu
usifananishe nje ya Ulaya or U.S na vitu vya ajabu!Hatupendii kabisa tunapenda harufu yake tuMama G, Ni kweli hampendi sana makaratasi!?
GoodJapo mama anataka nioe Tz, Lakini anisamehe tu, Maana fikra ni za kutua Uganda au Rwanda!
Jike nitakalo lioa kutoka Uganda au Rwanda, Nitalifundisha kupika maana mi sijambo kwenye anga hizo.Ha Ha Ha kwenye kupika wale ndugu zetu wanajua kuchemsha makande tu ,githeri mchele kwao mpaka yesu au mtume akizaliwa,wanaume wetu jamani lakini why?
Anaijua habari yakeWait and see
Weeee na yale maji kwendraaHahahaha hapo sasa una waonea
Wa rwanda wana shika 1
Wabongo mnashika 3 maana mbili hakuna
Utakula ban ujueJapo mama anataka nioe Tz, Lakini anisamehe tu, Maana fikra ni za kutua Uganda au Rwanda!
Soma post za iceman anataka kuoa rwanda au burundi
Tutawafundisha kupika majike wetu, Sisi madume hatujambo ktk mapishi.Yaan wanachemsha kisamvu kinakatwa katwa tu hakitangwiii![]()
Nakoojooooa![]()
![]()
![]()
![]()
usifananishe nje ya Ulaya or U.S na vitu vya ajabu!
Wee hapo ni mipakani tuHahahaha
Nje ni nje tuuu
Nacheza na uwezo wangu
Yaan unaoa watu tulio na ugomvi nao wanang'ang'ania ziwa Nyasa la kwao hivi una akili kweliKwa sababu wachimba chumvu hawana access ya kukutana nao.
Ila mwanamke yyte wa nje hawez kushindwa kumkubali mwanaume wa kitanzania.
Yaan ushindwe hata kuoa mmlawi kweli!!
Mzungu wa wapi asije kuwa wa raia wa zimbambwe hatutakiHata mimi naolewa na mzungu nachezea wotee halafu nakuja na mzungu hadi jf watuone halafu wataandika uzi wenye picha jueni ukizalishwa nje kamwe huingii ndani kamwe.
Kina naniAaah
Lakin na wewe unakaribiana tu na unao wasema




watusi?Yaan hapo mipakani ndio nje naomba ajue hapo ni mipakani![]()
![]()
unataja mataifa ya hovyoooo!!!