Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,810
- 6,801
Ni afadhali tuoe Rwanda, au Burundi na kwingineko ktk Africa hii, Kuliko kuoa America ambako mpango wao ni kuharibu vizazi vya Waafrika wasizaliane pamoja na kuwadunga sindano za Vvu,Kansa, pamoja na kuwafanya watoto wa Kiafrika wawe na akili taahira.Ahahahaaaaaa ilimradi tuu atuharibie uchumi wa nchi yetu.



