Maziwa ya Azam siyaelewi!

Maziwa ya Azam siyaelewi!

Hayo Tanga fresh yenyewe si halisi...Umeme.ukikatika nayo yameganda au yanakatika...
Nature ya maziwa yakikaa kwenye joto huwa yanaganda. Na hii inatoka na natural enzymes walioko kwenye maziwa ya ng'ombe amboa ukibadilisha mazingira yaani joto. Wanakuwa active na kufanya kitu inaitwa fermentation na kama maziwa sio ya ng'ombe au yamewekwa kemikali basi hiki kitu huwa hakitokei na maziwa yanawdza kaa kwenye mazingira yoyote. Mfano ni maziwa ya azam
 
Nishakunywa kama mara tatu, lakini kila nikinywa najiskia hovyo kama naumwa, vipi jamani haya Maziwa yana ubora kweli au ndio tunalishwa sumu kiaina?
Umespecialize vizuri katika majungu. Mungu akupe maisha marefu, ameen.
 
nafatilia huu uzi kwa mbali huku nikiwa makini. Endeleeni.

Nitolee taswira halisi cha sekta ya maziwa ewe mzalendo.

Picha tafadhali za bidhaa kama za Tanga fresh na kadhalika.
 
Azam ana agiza maziwa fresh ya unga toka nje halafu anakuja ku delute pale Zanzibar na kupack kwenye maboksi kisha ana tuuzia sisi. Ukisoma ingredients kwenye boksi utakuta kuna vitu kama 5 hvi ambavyo vipo kwenye hicho kinywaji na wame andika usinyonyeshee mtoto.
Maziwa fresh ya ukweli ni daima, brookside na first choice, parmalat toka SA.
 
Maziwa ya tanga hayahitaji kuchemsha. Yale yamefanyiwa kitu inaitwa" pesturaization" ukichemsha protein yote inakuwa denatured. Ila hongera kwa kuona kasoro kwenye kitu ya azam


Ooooh,kumbe ndugu asante,mm niltaka ninywe yamoto
 
Azam ana agiza maziwa fresh ya unga toka nje halafu anakuja ku delute pale Zanzibar na kupack kwenye maboksi kisha ana tuuzia sisi. Ukisoma ingredients kwenye boksi utakuta kuna vitu kama 5 hvi ambavyo vipo kwenye hicho kinywaji na wame andika usinyonyeshee mtoto.
Maziwa fresh ya ukweli ni daima, brookside na first choice, parmalat toka SA.
Umesahau asas na tanga fresh bhana. kumbuka Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe.
 
Kwa waliosoma food science and technology procedure ya kuprocess mpaka kupaki maziwa na yabakie fresh ni angalau siku 7 mpaka 10 yakiwa stored kti temperature ya 0 mpaka 5'C. Sasa ya azam yana expire baada ya mwaka, hiii ni hatari, kwanza ile package kit za tetrapack sio chini ya sh 2000, hujaweka garama ya kuyaprocess,alafu.unauziwa sh 3000 kwa liter that means inawezekana wapi maziwa lita yauzwe kwa thaman ya sh 1000? Ukitaka kuyajua yakoje hebu yagandishe utashtuka unakunywa nini.... TBS na TFDA wamelala tu hao.

Drink at your own risk lakini usimpe mwanao
Sijasoma food science and technology wala food engineering ila naelewa kwa upeo mdogo juice au maziwa hayawezi kubaki fresh kwa zaodi ya siku saba, labda yAwe superchilled......
 
Hapa nina box la Azam juice, sasa sijui niimalizie tu ndo niache kabisa au niachie hapa hapa!
kaza moyo mpwa umalizie ila jitahd uachane kabisa na soft drink za azam. sijui sayona au hawa mo drinks.. yaan ninkujitengenezea magonjwa ya ajab ajab miaka ijayo..
 
Acheni kuharibu biashara za watu wajameni....! Kama wewe huyawezi acha hakuna mtu aliyekulazimisha kununua...!
 
Yale ni maziwa ya unga, sijui wanayatoa wapi. wajanja sana, wanaongezea maji tu. kwanza ng'ombe wenyewe wako wapi
Halafu wahusika walivyo wa ajabu wanaonyesha kwenye matangazo ya TV kundi la ng'ombe wa maziwa wakiwa malishoni - sijui hapa au Zanzibar!!! Wahusika sio wakweli, wanacho fanya wana import semi skimmed milk powder kutoka sijui nchi gani, wanachanganya na maji ya uhai basi - yale si maziwa fresh hata kidogo.
 
Last edited:
Tanga fresh wamejipanga sana wapo kiwango vizuri sana ila naomba sana Tanga fresh rudisheni mtindi hule Wa 2006 kushuka chini mpoo safi sana,Tanga fresh mpoo nchi zima naombeni sana mpunguze bei yawe1000,kuna sehemu yanauzwa mpaka 2500,naombeni kama mnaweza andikeni kwenye pakiti bei elekezi kbsa kama 1000,na mtamchukulie hatua mtu atakayeuza zaidi ya hapo,kama ungekuwa mwanamke basi Tanga fresh ningetuma posa,hongereni sana Tanga fresh
 
Ukiona mtu anazungumzia udini kwenye afya za watu ni mshenzi mkubwa sana kwa ukristo na uislamu hautaki magumashi katika Maisha,nadhani unayesema udini wewe mwenyewe hutumii kbsaa hayo maziwa,
 
Hatari Sana
Azam Walitakiwa Wawe Na Thread Yao Kujibu Hoja Kama Wenzao Vodacom Nmb Tcra
 
Azam ana agiza maziwa fresh ya unga toka nje halafu anakuja ku delute pale Zanzibar na kupack kwenye maboksi kisha ana tuuzia sisi. Ukisoma ingredients kwenye boksi utakuta kuna vitu kama 5 hvi ambavyo vipo kwenye hicho kinywaji na wame andika usinyonyeshee mtoto.
Maziwa fresh ya ukweli ni daima, brookside na first choice, parmalat toka SA.

Kwa mimi maziwa yote hayo ulio orodhesha siya pendi. Hayo yote yana chemical nyingi ndioa maana yanakaa mwaka mzima bila kuaribika. Tofauti na Tanga Fresh
 
Last edited:

Similar Discussions

Back
Top Bottom