Maziwa ya Azam siyaelewi!

Maziwa ya Azam siyaelewi!

Lakini niujinga wetu watanzania,mbo na wamektandikia kabisa kuwa siyo halisi?
 
We mzima kweli?
Nahisi una chuki na Kahtaani haya hapo udini uko wapi?au wewe ulitoa hoja zako huku ikijua umeilenga dini fulsni ukisubiri watu unaowahisi wa dini hiyo wajitokeze? Kajipange na upofu wako wa fikra na chuki iliyokomaa dhidi ya watu wa imani fulani ndorobo wee!mijitu kama hakika mlipaswa mkaishi rwanda burundi na kenya ndio watu wanaoabudia ubaguzi wa aina zote!
Ahsanta maalim kwa kumuweka sawa huyu kimburu.

Watu km hawa ni hatari km Ebola.
Wakiona jina la muungwana tu wanakimbilia kwenye dini na kashfa.
Wana laana hawa.

Shukran.
 
Bidhaa za Azam siziamini kabisa sijui kwanini.
Tatizo ni ukosefu wa ajira kutoka Azam mkuu.
Ungekuwa umeajiriwa wala usingeandika haya.
Na pili Huenda ikawa umezoea mihogo na michembe.
Sasa ukila keki ya Azam ukateremshia na Milk shake yake unaweza Tapika mpk ukamaliza maji mwilini.

Ahsanta.
 
Hayagandi azam kwa kuwa sio maziwa

Tanga fresh ukiyaweka kitika freezer unatumia for somedays
Bi mkubwa Una ushahidi upi kuwa Maziwa ya Azam SIO MAZIWA?
Na km Sio Maziwa Ni kitu gani kilichomo humo ndani ya hizo pakti za AZAM zilizoandikwa Maziwa?

Unajua Shutuma km hizi unaweza kuwekwa ndani kwa kusambaza Uongo kwa jamii.! Na kusababisha mparaganyiko wa fikra za Watumiaji?

Azam ltd Ikikufungulia mashtaka utanyea kwenye Ndoo.

Au unadhani Cyber crime ni kutukana serikali tu sio?

Jichunge na unacho kiandika au sasa hivi utakuja pelekwa Sehemu mbaya.

Usijesema hujaonywa.
Shauri yako.
 
Azam naye kazidi bhanaa daaaa kilaa kitu ni yeye tuu mpaka akeraa hasaaa mpaka sasa aboronga vingine sasa, unga yeye, nazi (pia nazi zake sijui zikoje vilee puuu),,majii, juice ,mikatee, Television haaaa

Ndo mana vingine ana boronga

Bado kuona akileta magari na nguo za azamuu

Timu ya taifa ya azam

Kuna jamaa kaniambia kuwa watu wanatumia Jina lake kuanzisha bidhaa then wanauza kwa juna la azam ili wapate watejaaaa
 
Haaaaaa tena maziwa ya Azam mazuri sana jamani nasubiria mtindi wake,box LA azam fresh nikubwa sana na ukilinywa unabadilika akili zinakujia vema
 
Soma kwenye ingredients hakuna maziwa ya ng'ombe pale, yanaweza yakawa ya miti.
 
see
We mzima kweli?
Nahisi una chuki na Kahtaani haya hapo udini uko wapi?au wewe ulitoa hoja zako huku ikijua umeilenga dini fulsni ukisubiri watu unaowahisi wa dini hiyo wajitokeze? Kajipange na upofu wako wa fikra na chuki iliyokomaa dhidi ya watu wa imani fulani ndorobo wee!mijitu kama hakika mlipaswa mkaishi rwanda burundi na kenya ndio watu wanaoabudia ubaguzi wa aina zote!
ww na huyo kiroboto kahasijui tan ni wapumbafu mnaleta udini kwavile tu azam muislam....... ingekuwa hayo maziwa ni ya Josef mngevaa hata vyupi kichwani bila kujali madhara ya huu uchafu unaoitwa maziwa ya azam ..... . shenzi zenu na Dini yenu mchewwww.
 
Last edited:
ww na huyo kiroboto kahasijui tan ni wapumbafu mnakutana udini kwavile tu azam muislam....... ingekuwa hayo maziwa ni ya Josef mngevaa hata vyupi kichwani bila kujali madhara ya huu uchafu unaoitwa maziwa ya awamu kukashf... shenzi zenu na Dini yenu mchewwww
Bora umenena huyo Ally kacomment kwa kuwashwa tu, sijui hata kama limesoma. Kulikuwa kuna haja gani ya huyo khataan kutaja divai za kanisani na mambo ya Christmas? Kama sio kuendekeza udini?
 
Bora umenena huyo Ally kacomment kwa kuwashwa tu, sijui hata kama limesoma. Kulikuwa kuna haja gani ya huyo khataan kutaja divai za kanisani na mambo ya Christmas? Kama sio kuendekeza udini?
mpuuzi sana huyo Kahatan yaani kwenye mambo crucial analeta dini usengejazbend.....
 
Liko wapi hilo shamba? Taja mahali lilipo

Jamani, sio kila lalamiko limeambatana na wivu. Sometimes ni ladha tu zinazotofautisha mlaji A na B


Neno
We vipi jombaa,ladha tena?Unamaanisha brookside hayana ladha iliyo kamili na tena sio freshi?Kweli binadamu hawatosheki.Duh!Navoona suluhisho kwako kilichobaki ni mkagongane vichwa na ndama nyote mkibishania atakaye kunywa maziwa yale freshi kabiiisaaa,mojamoja kutoka kwenye matiti ya ng'ombe!
 
Last edited:
We vipi jombaa,ladha tena?Unamaanisha brookside hayana ladha iliyo kamili na tena sio freshi?Kweli binadamu hawatosheki.Duh!Navoona suluhisho kwako kilichobaki ni mkagongane vichwa na ndama nyote mkibishania atakaye kunywa maziwa yale freshi kabiiisaaa,mojamoja kutoka kwenye matiti ya ng'ombe!
Shamba la Azam anakofuga mifugo liko mkoa gani hata Tanzania? Swali hili lijibiwe
 
Tatizo ni ukosefu wa ajira kutoka Azam mkuu.
Ungekuwa umeajiriwa wala usingeandika haya.
Na pili Huenda ikawa umezoea mihogo na michembe.
Sasa ukila keki ya Azam ukateremshia na Milk shake yake unaweza Tapika mpk ukamaliza maji mwilini.

Ahsanta.

Mheshimiwa kahtaan Kamwezi siwezi kuomba ajira Azam wala hata wazo la kuajiriwa sehemu zinazofanana na Azam halipo kabisa.Bidhaa nyingi za Azam zipo chini ya kiwango mara ya mwisho kutumia bidhaa za Azam ni mwaka juzi hasa juice yake ya Embe baada ya kugundua haikuwa juice halisi nikaacha kabisa kununua na kunywa juice ya Azam.
 
Shamba la Azam anakofuga mifugo liko mkoa gani hata Tanzania? Swali hili lijibiwe

Hapo sasa unatafuta ugomvi bure huyu jamaa kajaza makemiko anadanganya watu eti maziwa hili ni jipu linahitajika kutumbuliwa haraka.
 
Mheshimiwa kahtaan Kamwezi siwezi kuomba ajira Azam wala hata wazo la kuajiriwa sehemu zinazofanana na Azam halipo kabisa.Bidhaa nyingi za Azam zipo chini ya kiwango mara ya mwisho kutumia bidhaa za Azam ni mwaka juzi hasa juice yake ya Embe baada ya kugundua haikuwa juice halisi nikaacha kabisa kununua na kunywa juice ya Azam.
Ngongo labda utusaidie Hapa kitu kimoja.
Hivi kiwango cha bidhaa hasa ya vinjwaji na Vyakula inapimwa kwa midomo?
Unaposema ni kiwango cha chini una maana TBS wametoa Certificate kea bidhaa hizo kimakosa? Au walipewa rushwa kudanganya watu km wewe?

Naomba jibu hapo.

Na km wewe hutaki ajira ya Azam basi kuna watanzania zaidi ya Laki 5 wameajiriwa na Azam.

Unachotakiwa ni Kumuombea Mungu aendelee kugawana na wenzake Rizki.
Ahsanta
 
Ndivyo ilivyo hata wale wanao tengeneza hayo maziwa wao hawanywi na hua wanakatazwa
Hata haya maji ya kwenye makopo wanaotengeneza wao hawanywi
 
Ngongo labda utusaidie Hapa kitu kimoja.
Hivi kiwango cha bidhaa hasa ya vinjwaji na Vyakula inapimwa kwa midomo?
Unaposema ni kiwango cha chini una maana TBS wametoa Certificate kea bidhaa hizo kimakosa? Au walipewa rushwa kudanganya watu km wewe?

Naomba jibu hapo.

Na km wewe hutaki ajira ya Azam basi kuna watanzania zaidi ya Laki 5 wameajiriwa na Azam.

Unachotakiwa ni Kumuombea Mungu aendelee kugawana na wenzake Rizki.
Ahsanta

Hivi unajua hizo certificate za TBS zinavyotolewa ?.Hivi unajua hata zile certicate za IPC zinavyotolewa ungeshangaa sana sana ukiwa na uwezo wa kuwakirimu auditor wanakupatia certificate.Jiulize ni kwanini juice za Azam hazikatizi Kenya ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom