Maziwa ya Azam siyaelewi!

Maziwa ya Azam siyaelewi!

Mfanya biashara km Azam hawezi kufanya upuuzi wa namna hio hata siku moja.
We unafahamu kosa la Kuwauzia wananchi Chakula au kinywaji kilicho nje ya kiwango?
Kwa upuuzi huo anahatarisha Kufungiwa VIWANDA VYAKE VYOTE na Kupigwa Faini ya mamilioni ya pesa.

Maziwa ya Azam yananywewa na Mamilioni ya watanzania.
Sasa itokee hata watu 100 tu wapelekwe hospital kwa matatizo ya hayo maziwa Ujue Azam tumo ktk SHIDA kubwa sana.

Hawa wanaohara ovyo ni Walevi wa Pombe za buku jero!
Ukute maisha yake yote bia anakunywa Christmas mpk Christmas au apewe divai ya bure kanisani.
Matokeo yake tumbo limezoa Gongo. Sasa likikutana na maziwa hali ya kuwa liko Tupu anahara ovyo .

Watakufa Kwa Gongo hawa watu.
Ushauri sasa sijui utafuatwa?

Ila nimecheka sana huo mstari wa mwisho.
 
Nishakunywa kama mara tatu, lakini kila nikinywa najiskia hovyo kama naumwa, vipi jamani haya Maziwa yana ubora kweli au ndio tunalishwa sumu kiaina?
Sasa watz kwa wivu wenu mliona ni vyema mwapige marufuku brookside ya wakenya maziwa ya kishua kazi ya Uhuru Kenyatta mwenyewe.Haya basi tulieni sindano iwaingie vizuri,ni mwanzo tu,azam watawanywesha hadi maziwa ya fisi!
 
..kwa kifup situmii kinywaj chochote cha azam .. maana hata hzo soft drinks zao composition yake haina viwango
Hapa nina box la Azam juice, sasa sijui niimalizie tu ndo niache kabisa au niachie hapa hapa!
 
Soma maziwa yote hayana mchanganyo(Ingredients) lakin Azam kaweka kibaya zaid katumia skimmed milk powder bora angetumia full cream milk powder maana ni nzuri sana
 
Hapa nina box la Azam juice, sasa sijui niimalizie tu ndo niache kabisa au niachie hapa hapa!
Hahaha!Jombaa wewe unasumbuliwa na kilichobaki kwenye boksi?We vipi?Tia kidole kinywani tapika ulichokunywa ndani ya boksi ya juice iliyobaki kisha nenda nyuma ya nyumba chimba shimo tia ndani kisha tupa mchanga juu.Usiseme mawaidha hukupewa!
 
Maziwa halis ni Tanga fresh. Wengine wababaishaji tu. Chemical nyiiingii.
 
Nishakunywa kama mara tatu, lakini kila nikinywa najiskia hovyo kama naumwa, vipi jamani haya Maziwa yana ubora kweli au ndio tunalishwa sumu kiaina?
Ukitaka maziwa nenda kanunue kwa mkamua ng'ombe haya ya madukani sio ya kuyaamini!! wenda ni makemikali yamechanganywa alafu unaambiwa ni maziwa

cc Mzizimkavu
 
true dat????? wadau ni ASAS NA DAILY FRESH??????????????????????????????????????? Composition zao zikoje
haya maziwa tunaambiwa ya viwandani sio ya kuyaamini, kama unataka maziwa nunua yaliyokamuliwa na sio ya viwandani.
 
Maziwa ya Azam yanatengenezwa Zanzibar. Swali je Stone town unaweza fuga ng'ombe. Issue iko hivi sheria za Tanganyika zinazuia uzalishaji wa maziwa ya unga, alichofanya jamaa anazalisha Zanzibar anatunywesha. Chukua hatua.
 
Mi kuna siku nilikunywa Fursana nikaota nakimbizwa na fisi
Haha!Jombaa,umeniua,nimecheka aisee,umenikumbusha mbali sana.Ndoto kama hizo nikiwa mdogo ilikuwa lazima zinipate pale mama alipokuwa anatuekea kikombe cha maziwa yaliyochacha usiku baada ya kula na kushiba kabisa.Duh!Nimezimisi ndoto hizo sanaaa,nilikuwa naamka nimeloa jasho kwa nilivojitahidi kwenye mbio.Mara ni fisi, mara ni simba au viumbe vingine visivoeleweka!
 
Last edited:
Mkuu kabla hujanywa maziwa Ahakikisha Tumbo halina gongo au pombe za moshi.

Usipofanya hivyo utaendelea Kuhara mpk ukauke maji mwilini.

Maziwa ya Azam yamepitishwa na TBS. Hakuna ujanja ujanja hapo.

Tatizo ni wewe Sio Maziwa.

Hao TBS nao wanathibitishwa na Nani?
 
Katika product mbovu kabisa azam ni hayo maziwa huyo amayebisha ajaribu kuweka maziwa ya asas tanga fresh brookside ya kenya mwenyewe ataona tofauti kubwa
 
Mimi nikinywa najisikia kutapika...si hayo tu hata cowbel...na wakati mm ni mnywaji wa maziwa toka enzi..nashangaa siku hizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom