Mkuu hapo Burundi huwezi kuipata.TBS ipo wapi?
Na wewe si uchanganye maziwa ya unga na maji Uuze km yeye.!Yale ni maziwa ya unga, sijui wanayatoa wapi. wajanja sana, wanaongezea maji tu. kwanza ng'ombe wenyewe wako wapi
But huwa najiuliza kuna makampuni ya maziwa mwaka mzima wao wanazalisha tu hakuna cha kiangazi wala masika, but kwa nikinilivogundua (kiasi) asas kuna msomi maziwa yanaoungua hii ni kutokana na hali ya hewa (nyasi) sasa hao wengine mh!!Asas au tanga fresh,azam mjanja mjanja ase
ngano,,pole
are u serious?!Unaharibu biashara za watu kama umeona hayafai usiyamwe koma usirudie tena!
Wana shamba kubwa la ng'ombe zenji mkuu!!!!Yale ni maziwa ya unga, sijui wanayatoa wapi. wajanja sana, wanaongezea maji tu. kwanza ng'ombe wenyewe wako wapi
Maziwa ya ng'ombe natural hayakai sehemu yenyejoto zaidi ya masaa 12 bila ya kugandaYale ni.maziwa ya ngombe 100% pure hawaweki maji hata chembe,
Yaaaap.are u serious?!
Kaakimnya ufiche ujinga wako bana, Maziwa na upatikanaji wake hautegemei majira kabisa. Wala majani mabichi sio factor ya ng'ombe kutoa maziwa.Umetaja Tanga fresh doooo!!
Aisee bora nikae kimya!!But huwa najiuliza kuna makampuni ya maziwa mwaka mzima wao wanazalisha tu hakuna cha kiangazi wala masika, but kwa nikinilivogundua (kiasi) asas kuna msomi maziwa yanaoungua hii ni kutokana na hali ya hewa (nyasi) sasa hao wengine mh!!
Kumbe kunguni wa mchana mpo wengi kweli kweli pole sana.Kaakimnya ufiche ujinga wako bana, Maziwa na upatikanaji wake hautegemei majira kabisa. Wala majani mabichi sio factor ya ng'ombe kutoa maziwa.
Kama hujui au hujawahi kufuga ng'ombe uliza kwanza.
hahhhhhhaaaaahhhh uwiiii mkuu hii chuki sasaMi kuna siku nilikunywa Fursana nikaota nakimbizwa na fisi
Kiwanda kipo ZNZ. Wanaimport maziwa unga wanaprocess. Jiulize kwanini kiwanda hakikuwekwa bara ambako kuna maziwa mengi ya ngombe na walaji pia ni wengi?Yanatengenezwa na maziwa ya unga
Una uhakika??Yale ni.maziwa ya ngombe 100% pure hawaweki maji hata chembe,
Wewe ndio Kenge kwa kusema Maziwa yana patikana wapi kipindi cha kiangazi!! Kwani yliambiwa kipindi cha kiangazi ngombe hawazai!? Ng'ombe hata ale nyasi kavu ukimpa maji ya kunywa anatoa maziwa mengi kama kawa. Na ngombe pia hawazai kwa msimu bali wana zaa muda wowote na msimu wowote.Kumbe kunguni wa mchana mpo wengi kweli kweli pole sana.
Umeambiwa viwanda vingi vya hapa nchini wana mifugo yao? Ni wachache sana. Njoo Arusha nikuoneshe Brookside ya Kenya wanatoa wapi maziwa acha ukenge mwanangu!!.