Ilushenisti
Senior Member
- Mar 11, 2013
- 118
- 46
Someni maelezo kwenye box la maziwa mjue mnakunywa nini,
Nilinunua hayo maziwa nikabaini sio kabisa, sasa kuja kusoma maelezo kwenye box ndio nikajiona mjinga kama watanzania wengi hatusomi maelezo kwenye bidhaa tunazotumia.
Sasa hivi hata bure hayo maziwa situmii
Nilinunua hayo maziwa nikabaini sio kabisa, sasa kuja kusoma maelezo kwenye box ndio nikajiona mjinga kama watanzania wengi hatusomi maelezo kwenye bidhaa tunazotumia.
Sasa hivi hata bure hayo maziwa situmii