Maziwa ya Azam siyaelewi!

Maziwa ya Azam siyaelewi!

Kiwanda kipo ZNZ. Wanaimport maziwa unga wanaprocess. Jiulize kwanini kiwanda hakikuwekwa bara ambako kuna maziwa mengi ya ngombe na walaji pia ni wengi?
By the way kwa Tanzania hiiiii maziwa ya ngombe ninayo trust siyo ya kutoka kiiwandani.
niongeze kwa kuwahabarisha kuwa: kwa wale mnaonunua maziwa fresh toka kwa wafugaji kuna umuhimu ujiridhishe kuwa hayajachakachuliwa. wauzaji wa maziwa wanaongeza maji kufanya yawe mengi kupata faida zaidi. ili kuficha huu ujanja huwa wanaweka vitu vya ajabu kama unga wa ngano, blue band etc kuyafanya yaendelee kuwa mazito. But ni hatari kwa afya hasa ya mtoto mchanga. Mtoto aweza kuharisha, kudumaa kwa kukosa virutubisho muhimu vya hayo maziwa na pia long term impact kwenye ini na figo. Hivyo basi namna rahisi ya kubaini kama maziwa fresh yamechakachuliwa ni: i. chovya njiti ya kiberiti halafu iwashe, isipowaka yametiwa maji
ii. mwaga kijiko kimoja cha maziwa kwenye sakafu, kama yameongezwa maji yatajitenga
iii. chukua glass weka maziwa fresh kiasi halafu kamulia ndimu au tone la alcohol (bia, konyagi) yasipokatika ni dalili pia yameongezwa maji.
Maziwa ni muhimu sana kwa afya ya inadamu hasa watoto na wazee. Tuingatie haya kwa afya bora za watanzania.
Ukiuzia Kiwanda Maziwa lazma uhakikishe yapo sawa. Ukiongeza maji wanajua na wana kurudishia maziwa yako. Ingekua ina wezekana kuongeza maji na kuuzia kiwanda basi watu wange tajitika sana.
 
Azam anashamba kubwa sana amefuga ng'ombe wa maziwa .ni maziwa halisi na wala hayana kipingamizi
Liko wapi hilo shamba? Taja mahali lilipo
Sasa watz kwa wivu wenu mliona ni vyema mwapige marufuku brookside ya wakenya maziwa ya kishua kazi ya Uhuru Kenyatta mwenyewe.Haya basi tulieni sindano iwaingie vizuri,ni mwanzo tu,azam watawanywesha hadi maziwa ya fisi!
Jamani, sio kila lalamiko limeambatana na wivu. Sometimes ni ladha tu zinazotofautisha mlaji A na B

Tatizo wabongo mmeanza tabia ya kufakamia kila kitu ambacho ni packed huku mkidharau kutumia vyakula halisi.
Hali hii inasababisha magonjwa ya kansa na shinikizo la damu kuzid kuongezeka hapa Tanzania
Neno
 
Mkuu kabla hujanywa maziwa Ahakikisha Tumbo halina gongo au pombe za moshi.

Usipofanya hivyo utaendelea Kuhara mpk ukauke maji mwilini.

Maziwa ya Azam yamepitishwa na TBS. Hakuna ujanja ujanja hapo.

Tatizo ni wewe Sio Maziwa.

TBS ipi unayoiongelea hapa. Kama ni wale wenye ofisi pale stand ya mkoa na kushauri ufikirie upya. Labda kama Magufuri atakamua majipu pale.
 
Nishakunywa kama mara tatu, lakini kila nikinywa najiskia hovyo kama naumwa, vipi jamani haya Maziwa yana ubora kweli au ndio tunalishwa sumu kiaina?

Hayo sio maziwa halisi ya ng'ombe mkuu...ni maziwa ya unga.

sikushauri uyatumie
 
TBS ipi unayoiongelea hapa. Kama ni wale wenye ofisi pale stand ya mkoa na kushauri ufikirie upya. Labda kama Magufuri atakamua majipu pale.
TBS ni Moja tu TZ.
majipu unayajua wewe.
Hiki ni Chombo cha serikali.

Hukitaki anzisha chako. It is Simple as abc.
 
Nilijua tu lazima ulete udini
We mzima kweli?
Nahisi una chuki na Kahtaani haya hapo udini uko wapi?au wewe ulitoa hoja zako huku ikijua umeilenga dini fulsni ukisubiri watu unaowahisi wa dini hiyo wajitokeze? Kajipange na upofu wako wa fikra na chuki iliyokomaa dhidi ya watu wa imani fulani ndorobo wee!mijitu kama hakika mlipaswa mkaishi rwanda burundi na kenya ndio watu wanaoabudia ubaguzi wa aina zote!
 
Nishakunywa kama mara tatu, lakini kila nikinywa najiskia hovyo kama naumwa, vipi jamani haya Maziwa yana ubora kweli au ndio tunalishwa sumu kiaina?
jaribu kunywa maziwa halisi ya tanga fresh hutajutia afya yako .ni natural asilimia mia.
 
Sijawahi kunywa hiyo kitu aseee Azam maziwa!!!!!?! Kuna ile maziwa ya musoma na tanga fresh.... Bhaaaasi....
 
kunyweni asas diaries kama vp ila mbona azam tv hua wanaonyesha jinsi maziwa yao yanavotengenezwa na wanaonyesha ng'ombe kabisa wakikamua?
Ni sawa na shuhuda za Dr Mwaka kwenye video hazina uhalisia ni kudanganya umma wa watanzania...
Jaribu tafuta takwimu za uzalishwaji wa maziwa hapa nchini ndipo utajua na kung'amua ukweli!!!
 
Kuna uzi uliletwa hapa hii product ilivyotoka tu kwakua wengi hawakuwa wameitumia walitukana sana ila sasa mmejionea
Sijui pia nazi zake ni fomula
 
NATAMANI SERIKALI INGEWASAIDIA HAWA ASAS NA TANGA FRESH wafanye zaidi ya hapo. Pia wangeuza hata share wa TZ tungenunua.

Hawa wana uhakika wa biashara as long as wana maintain na kuboresha huduma bila kusahau quality. Demand ya product zao ni kubwa sana hapa hapa TZ kabla ya kwenda nje. So far nadhani wame cover less than 40% ya demand.

Serikali ina wajibu wa kulinda na kusaidia viwanda vinavyofanya vizuri.

Queen Esther

Asas na Tanga fresh ndio maziwa ya ng'ombe halisi. Azam huwa anakusanya maziwa wapi?
 
Bidhaa za Azam siziamini kabisa sijui kwanini.
 
Mi nayapikia hadi chai na hayagandi hayo tanga fresh
Maziwa ya tanga hayahitaji kuchemsha. Yale yamefanyiwa kitu inaitwa" pesturaization" ukichemsha protein yote inakuwa denatured. Ila hongera kwa kuona kasoro kwenye kitu ya azam
 
Kwasababu unayatunza kwenye mazingira yasiyo ruhusu kuganda. Tofauti na azama ambayo hayatunzwi kwenye frezeer na bado hayagandi.
Hayagandi azam kwa kuwa sio maziwa

Tanga fresh ukiyaweka kitika freezer unatumia for somedays
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom