papiso
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 391
- 231
Kuhusu suala la kuhara nimelisikia kwa watu wengi tu juu ya matumizi ya hayo maziwa binafsi tumbo langu ni kama tbs flani kitu kikiwa kibaya au feki kama hayo maziwa ya azam automatically kitatolewa unprocessed maana hamna cha ku absorbed,hayo ya gongo nahisi wewe ndio mtumiaji ndio maana unahisi ni rahisi kwa kila mtu kunywa gongo mkuu