mgodi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,780
- 1,851
Leo hata wasira anaweza kujifanya mtu mwema
Mkuu, umenifurahisha kwa hili.
Leo hata wasira anaweza kujifanya mtu mwema
hakika mkuu hali ya hewa ni ya utulivu hapa ifakara manyunyu kwa mbali mji wote zimebaki story za dada yetu regia.tuzidi kuiombea familia yake ibaki na amani na MUNGU awape faraja yake.TUNAOMBA TANESCO warudishe power maeneo ya ifakara.
Naona sasa itabidi tuanze kuambiana ukweli! Watanzania tuna kawaida ya kusema mema tu ya marehemu na muda mwingine tunatia chumvi nyingi! Pengine ni njia ya 'kumlaghai' Mungu ili amhurumie! Lakini la Regia kwa hili nadhani linatumiwa na CDM kama mtaji wa kisiasa kujipatia umaarufu! Huku Kondoa niloko hilo jina ndio kwanza wanalisikia! Ukiondoa mchango wake kwenye chama chake kama upo, au kujipendekeza kwake kwa kundi la Mbowe,na kuleta PICHA za mikutano ya CDM hapa JF ; Mimi sioni MCHANGO WAKE kitaifa! Hata bungeni sikuwahi kumsikia akuzungumza lolote la maana!
Josephine tumekuelewa na tunashukuru kwa kazi nzuri unayofanya.
Nadhani watu hapa si kwamba wanakulaumu wewe bali wanachosema ni kuwa kuna watu ambao wanalipwa kwa kazi hiyo unayoifanya lakini hawafanyi na wako huko.
Wewe Binti Sayuni (Zion Daughter), mbona jina lako ni zuri halifanani na uekewa wako?!. Mimi nimepinga kuaga au nimepinga kuaga kwa mwili kufunuliwa 4 times watu watazame?. Nashauri kwa vile hukujua nazungunzia nini bora unyamaze mwacheni Regia tumeshampumzisha!.Hlafu ikizingatiwa wale walioga Dar es salaam sio wana ifakara.Nadhani ungewanyima haki yao watu wake wa nyumbani.wewe pasco ndo hukupaswa kuaga tena ungewaachia wengine kwani huwa kuaga hakulazimishwi.
Penye ukweli uwongo hujitenga, hakuna ubishi kuwa mazishi yake yamewavuta wengi, unataka kuniambia hawa watanzania wote kuanzia mawaziri, wabunge, viongozi wakuu serikalini na watanzania wa kawaida hawana uwezo wa kumjua mtu shujaa ni yupi? Hayo maneno yako si ya kweliNaona sasa itabidi tuanze kuambiana ukweli! Watanzania tuna kawaida ya kusema mema tu ya marehemu na muda mwingine tunatia chumvi nyingi! Pengine ni njia ya 'kumlaghai' Mungu ili amhurumie! Lakini la Regia kwa hili nadhani linatumiwa na CDM kama mtaji wa kisiasa kujipatia umaarufu! Huku Kondoa niliko hilo jina ndio kwanza wanalisikia! Ukiondoa mchango wake kwenye chama chake kama upo, au kujipendekeza kwake kwa kundi la Mbowe,na kuleta PICHA za mikutano ya CDM hapa JF ; Mimi sioni MCHANGO WAKE kitaifa! Hata bungeni sikuwahi kumsikia akuzungumza lolote la maana!
Mkuu nimeshatoka Ifakara,ila kila nipitapo hali ya hewa ni hiyo hiyo!kweli Tanzania ilimpenda Regia,hata mwenyezi Mungu anajua ilo,na ndio maana ameifanya Morogoro iwe hv leo,kuonyesha furaha ya Regia kurudi kwake,na furaha yake pia kwa jinsi watanzania tulivyompenda Regg
Mwehu utamjua tu.
Ningekushauri unapotaka kufanya Argument na mimi hakikisha unajiandaa kwa hoja zenye mashiko, kila msiba kuna wanaolia na kuna wanaoliwaza na kuna watani kupunguza stress na tension ya msiba, kama umeguswa sana nilitegemea uwe Morogoro kwenye mazishi.
Naona sasa itabidi tuanze kuambiana ukweli! Watanzania tuna kawaida ya kusema mema tu ya marehemu na muda mwingine tunatia chumvi nyingi! Pengine ni njia ya 'kumlaghai' Mungu ili amhurumie! Lakini la Regia kwa hili nadhani linatumiwa na CDM kama mtaji wa kisiasa kujipatia umaarufu! Huku Kondoa niliko hilo jina ndio kwanza wanalisikia! Ukiondoa mchango wake kwenye chama chake kama upo, au kujipendekeza kwake kwa kundi la Mbowe,na kuleta PICHA za mikutano ya CDM hapa JF ; Mimi sioni MCHANGO WAKE kitaifa! Hata bungeni sikuwahi kumsikia akuzungumza lolote la maana!
Mtanzania, hata kama maofisa habari wa Chadema wangekuwepo na wapiga picha wa Chadema wangekuwepo, bado wasingepaswa kutupatia updates zozote humu jf kwa sasa jf sio mainsteam media ni just a social network kwa members kujitolea kupost news au update!.Walipaswa kujipanga....wengine walete habari, wengine picha...kitu kama hicho. Pengine hata wewe hukupaswa kuifanya kazi hiyo.
Kwa hili Mh. Mnyika anatakiwa kuwajibika, yeye ndie msemaji wa chama anatakiwa kua anatupatia habari kwa njia yoyote ile