Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

Mwili wa mpendwa dada yrtu Judith umeingia kanidani muda juu
watu ni wengi sana , vilio vimetawala hapa kanisani uploadfromtaptalk1371725979648.jpg
 
Poleni ndugu na jamaa wote wa Marehemu!

Najua mko katika kipindi kigumu cha kupotelewa na mtu mliempenda, aliekua mshauri wa familia katika makuzi ya watoto wake na hata wajirani zake.

M/Mungu awatie nguvu na awape subra katika wakati huu mgumu!
 
Yaani these few "think tanks" za cdm kweli zimewaweza wana Arusha, kama kuna mtu mwenye kuona mbali basi atakubaliana na mimi!!
Kwanza kabisa walichofanya ni kutafuta sababu ya kuamsha mori ya watu, hii we all know kwamba ili mtu apigane basi lazima awe na sababu otherwise chizi, wameua watu wasio na hatia ili tu waitafutie serikali doa! Wamejitonesha wao kwa wao halafu kwa sababu kuna a big guy on the corner, ambaye wanataka kumtafutia sababu, mwisho wa siku wanampakazia mabaya yao yote ili tu kumchafua!!
Kwa kweli niko calm ila sio siri chadema bakieni huko huko na ujinga wenu wa kuteka akili za watu, mnajifanya mna watu, that bull***t, kumbe ni watu wasiokuwa na elimu ya kujitambua, Mhh na mnawatumia kwelikweli!! Kinachoniuma zaidi ni ile watu,"majority" kutojielewa nao mkumbo wana_support mambo kishabiki, ngoja kesho kutwa waichukue Arusha kweli, muone vijana wenzangu wakaa vijiweni kama mtakula ugali kirahisi rahisi kama mnavyodhani na kuahidiwa!!
Wito wangu cdm acheni kumwaga damu za watu indirectly halafu mnasingizia ni serikali.
 
Hivi angekuwa ni mama yako, ama kama una mke ni mkeo , au kama wewe ni Binti ni mumeo , utaweza kuandika hayo unayoyaandika ? Au ungekuta wengine wameandika hivyo wakati una msiba ungejisikiaje ? Tuwe japo na huruma wakati huu.........

Hao project Lumumba majebere na wenzake si ridhiki, waache hawajui watendalo, tamaa yao ya siku moja inawafanya wawe watumwa
 
Last edited by a moderator:
Hivi angekuwa ni mama yako, ama kama una mke ni mkeo , au kama wewe ni Binti ni mumeo , utaweza kuandika hayo unayoyaandika ? Au ungekuta wengine wameandika hivyo wakati una msiba ungejisikiaje ? Tuwe japo na huruma wakati huu.........

Hao project Lumumba majebere na wenzake si ridhiki, waache hawajui watendalo, tamaa yao ya siku moja inawafanya wawe watumwa
 
Last edited by a moderator:
Picha za Mazishi ya mwenyekiti wa BAWACHA kata ya Sokoni I Judith William Moshi, alie uwawa na kwa mlipuko wa bomu kwenye viwanja vya soweto jijini Arusha siku ya kufunga kampeni za chaguzi ndogo tarehe 15.06.2013, uchaguzi ambao ulikuwa ufanyike tarehe 16.06.2013...
View attachment 98624
View attachment 98625
View attachment 98626
View attachment 98627Marehemu wengine walisafirishwa juzi usiku kuelekea Tanga na Tabora huku jana majeruhi mwingine akiaga dunia kwa bomu na risasi za tarehe 15.06.2013..
CCM mna pesa na majeshi, CHADEMA tuna MUNGU na WATU...hamtatuua wapenda mabadiliko wote nchini...

kwa Mungu tumetoka na sote tutarejea kwake!Pumzikeni kwa amani ndugu zetu!
kiroho tupo nanyi mpaka mwisho!
 
Hivi angekuwa ni mama yako, ama kama una mke ni mkeo , au kama wewe ni Binti ni mumeo , utaweza kuandika hayo unayoyaandika ? Au ungekuta wengine wameandika hivyo wakati una msiba ungejisikiaje ? Tuwe japo na huruma wakati huu.........

Mkuu , posho inawafanya hawa Lumumba fc kupoteza hadi ule ubinadamu kidogo waliobakiwa nao ! Shame !
 
wanaua hawaishi milele.nao watakufa tu.hakuna mtu anaishi milele.tena watakufa kwa ngoma ,kwa kutaabika sana sana.kama anavyotaabika bwana vasco da gama.
 
Yaani these few "think tanks" za cdm kweli zimewaweza wana Arusha, kama kuna mtu mwenye kuona mbali basi atakubaliana na mimi!!
Kwanza kabisa walichofanya ni kutafuta sababu ya kuamsha mori ya watu, hii we all know kwamba ili mtu apigane basi lazima awe na sababu otherwise chizi, wameua watu wasio na hatia ili tu waitafutie serikali doa! Wamejitonesha wao kwa wao halafu kwa sababu kuna a big guy on the corner, ambaye wanataka kumtafutia sababu, mwisho wa siku wanampakazia mabaya yao yote ili tu kumchafua!!
Kwa kweli niko calm ila sio siri chadema bakieni huko huko na ujinga wenu wa kuteka akili za watu, mnajifanya mna watu, that bull***t, kumbe ni watu wasiokuwa na elimu ya kujitambua, Mhh na mnawatumia kwelikweli!! Kinachoniuma zaidi ni ile watu,"majority" kutojielewa nao mkumbo wana_support mambo kishabiki, ngoja kesho kutwa waichukue Arusha kweli, muone vijana wenzangu wakaa vijiweni kama mtakula ugali kirahisi rahisi kama mnavyodhani na kuahidiwa!!
Wito wangu cdm acheni kumwaga damu za watu indirectly halafu mnasingizia ni serikali.

Kanisa la KKKT sokon one karibu na kanisa katoliki Palote
 
Hao project Lumumba majebere na wenzake si ridhiki, waache hawajui watendalo, tamaa yao ya siku moja inawafanya wawe watumwa

hata gadafi hakuthamini uhai wa wanalibya, idd amini na watawala wengi duniani waliowaua raia wao, sasaivi wako wapi wote hao! kila nafsi itaonja mauti! na ole wake anaefurahia/anaeshabikia/anaeratibu umwagaji damu ya wenzake, hukumu ni hapahapa duniani!
 
Last edited by a moderator:
Yaani these few "think tanks" za cdm kweli zimewaweza wana Arusha, kama kuna mtu mwenye kuona mbali basi atakubaliana na mimi!!
Kwanza kabisa walichofanya ni kutafuta sababu ya kuamsha mori ya watu, hii we all know kwamba ili mtu apigane basi lazima awe na sababu otherwise chizi, wameua watu wasio na hatia ili tu waitafutie serikali doa! Wamejitonesha wao kwa wao halafu kwa sababu kuna a big guy on the corner, ambaye wanataka kumtafutia sababu, mwisho wa siku wanampakazia mabaya yao yote ili tu kumchafua!!
Kwa kweli niko calm ila sio siri chadema bakieni huko huko na ujinga wenu wa kuteka akili za watu, mnajifanya mna watu, that bull***t, kumbe ni watu wasiokuwa na elimu ya kujitambua, Mhh na mnawatumia kwelikweli!! Kinachoniuma zaidi ni ile watu,"majority" kutojielewa nao mkumbo wana_support mambo kishabiki, ngoja kesho kutwa waichukue Arusha kweli, muone vijana wenzangu wakaa vijiweni kama mtakula ugali kirahisi rahisi kama mnavyodhani na kuahidiwa!!
Wito wangu cdm acheni kumwaga damu za watu indirectly halafu mnasingizia ni serikali.

.
Ikiwa wakaa vijuweni wamekuwepo hapo kwa miaka 50 ya utawala wa ccm bila ugali kirahisi, ni wakati muafaka wa kujaribu njia nyingine nayo ni kuwaunga mkono chadema katika harakati za kujikomboa kutoka utumwa wa miaka 50.
R.I.P Judith William.
.
 
....Mara zote duniani DAMU YA MTU ISIYOKUWA NA HATIA KAMA HII ....HUWA HAIPOTEI BURE ...............

Pia muuaji uteseka sana rohoni, asikudanganye mtu wanaoratibu mauaji kama hayo nafsini uteseka sana, wanaweza kujipumbaza kwa vileo, lakini wapi?. Hizo damu zitawafuata daima. Ni ujasiri wa kipumbavu kuratibu mauaji na kujaribu kutengeneza ukweli, watu wanajua ni nini kinaendelea nchini kwetu. Mungu atawaumbua wote waliohusika na udhalimu huo.
 
Back
Top Bottom