Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

Mungu awatie nguvu wafiwa hii ni njia yetu soote....but what I can tell iko siku moja tuu ukweli utadhihirika...killing innocent people ni kitu hakikukabaliki popote....
 
Hatimaye polisi wamemaliza mahojiano na na viongozi wa chadema ndiyo wameingia hapa kanisani.
 
Itakuwa poa sana kama utaweza kutuwekea picha Mkuu.
 
Sasa mkwara wote huo wa mgonjwa chagonja kwenye vyombo vya habari utafikiri walikuwa wanatafutwa wamepindua nchi.
 
Polisi huwa wanjiadai sana na lockup zao. Wanadhani ni issue saaana. Mbona makamanda wamekaa siku nyingi tu na sasa wako uaraiani kama kawa? AKILI NDOGO SANA. Wamejitutumua weee lakini wamenyoosha mikono.

let magamba know that, almost every household in Tanganyika has good number of CDM active members.
 
.........Ukijua historia ya maisha halisi ya Chagonja utaona hiyo ni cha mtoto.....jamaa kicwa chake ni full wenge.
 
Yaani these few "think tanks" za cdm kweli zimewaweza wana Arusha, kama kuna mtu mwenye kuona mbali basi atakubaliana na mimi!!
Kwanza kabisa walichofanya ni kutafuta sababu ya kuamsha mori ya watu, hii we all know kwamba ili mtu apigane basi lazima awe na sababu otherwise chizi, wameua watu wasio na hatia ili tu waitafutie serikali doa! Wamejitonesha wao kwa wao halafu kwa sababu kuna a big guy on the corner, ambaye wanataka kumtafutia sababu, mwisho wa siku wanampakazia mabaya yao yote ili tu kumchafua!!
Kwa kweli niko calm ila sio siri chadema bakieni huko huko na ujinga wenu wa kuteka akili za watu, mnajifanya mna watu, that bull***t, kumbe ni watu wasiokuwa na elimu ya kujitambua, Mhh na mnawatumia kwelikweli!! Kinachoniuma zaidi ni ile watu,"majority" kutojielewa nao mkumbo wana_support mambo kishabiki, ngoja kesho kutwa waichukue Arusha kweli, muone vijana wenzangu wakaa vijiweni kama mtakula ugali kirahisi rahisi kama mnavyodhani na kuahidiwa!!
Wito wangu cdm acheni kumwaga damu za watu indirectly halafu mnasingizia ni serikali.

My German shepherd dog is more intelligent than you. Go ahead.
 
Leo wale jamaa wanaozuia zuia hawajaomba hapo church wasiagie, maana under ccm any unimaginable can be imagined.
 
Kuelekea kanisani baada ya kutoka polisi kuandikisha maelezo na ndani ya kanisa pia
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1371727944.074948.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1371727944.074948.jpg
    88.4 KB · Views: 185
  • ImageUploadedByJamiiForums1371727987.301734.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1371727987.301734.jpg
    15.1 KB · Views: 173
  • ImageUploadedByJamiiForums1371728033.505357.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1371728033.505357.jpg
    15.5 KB · Views: 161
  • ImageUploadedByJamiiForums1371728055.644839.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1371728055.644839.jpg
    16 KB · Views: 156
  • ImageUploadedByJamiiForums1371728073.375230.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1371728073.375230.jpg
    78.8 KB · Views: 170
Leo wale jamaa wanaozuia zuia hawajaomba hapo church wasiagie, maana under ccm any unimaginable can be imagined.
Maajabu mkuu mpaka mkusanyiko wa maziko siku hizi ukaombe ruhusa polisi.....magamba kwishney!!!
 
Maajabu mkuu mpaka mkusanyiko wa maziko siku hizi ukaombe ruhusa polisi.....magamba kwishney!!!

Siku hizi wana msemo wao unaoitwa, ''mkusanyiko usio na kibali''

Ukiangalia ile issue ya kukusanyika SOWETO jamaa walivyojibu hoja utagundua akili zao zinahitaji msaada
Maana walisema watu wasiingie mkutanoni kwasababu AICC imekataza,
Lakini walipokuwa wanapiga mabomu walikuwa wanasema mkusanyiko ulikuwa sio halali

Sasa swali ni kwamba zile fujo polic walianzisha jana ilikuwa ni watu kuingia uwanjani au kukusanyika
Maana hawakusema kukusanyika ilikuwa ni issue, ila issue ilikuwa ni kuingia uwanjani na wananchi walitii hawakuingia na bado walipigwa.
 
Naomba niseme machache kwa wana-Arusha;
  • Mmetuwakilisha watanzania kama mlivyofanya mwaka 1967 hapo hapo arusha wakati mwl.anatangaza AZIMIO LA ARUSHA na kusimika miiko ya uongozi
  • Mmetuwakilisha kama mlivyotuwakilisha mwaka 1995 kwa kuanza kuwa na wabunge wa upinzani bungeni
  • Mmetuwakilisha kama mlivyofanya mwaka 1992 mlipokubali mwana arusha mwenzenu mzee wetu kipenzi Edwin Mtei kuanzisha CHADEMA, Chama hiki ni mali halali ya wanaarusha baada ya kutoa wazo la kuanzishwa chama hiki na katiba iliandikiwa ARURHA
  • Mmetuwakilisha vema kama mlivyokubali chuo kikuu cha NELSON MANDELA kujengwa Arusha huyu ni mpigania haki namba moja afrika
  • Mmtuwakilisha kama mlivyofanya siku ya kupigwa bomu wakati mkiwa kanisani pale OLASIT na kuendelea kusali hadi milipowazika marehemu.
  • mmetuwakilisha sana juzi pale bomu kwa mara ya pili lilipopigwa ktk mkutano wa siasa na hamkuteteleka mliweza kumuokata kipenzi chetu JUDITH MOSHImlijitahidi kumuamsha hamkufanikiwa kwani Mungu alikubali kuchukua roho yake, mlijaribu kufumbua macho wapi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! mungu alaze roho yake mahala pema peponi.
  • WANAARUSHA TUWALIPE NINI CHA KUFANANISHA NA KAZI KUBWA MLIOFANYA???????????? HATUONI.MBEGU MLIYOIPANDA MWAKANI ITAZAA NA TUTAVUNA WAKATI WA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

hakika watu wa Arusha mnatuwakilisha vema!tuko nanyi hadi mwisho!
 
Back
Top Bottom