Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,640
- 164,788
Hivi Kikwete akiangalia hizi picha anajisikiaje?
Kuelekea kanisani baada ya kutoka polisi kuandikisha maelezo na ndani ya kanisa pia
Tuko kwenye msafara kuelekea sokoni I kwenda kumpumzisha ndugu, mpendwa wetu Judy William,nitawaletea kitakachokuwa kinajili.
.
He doesn't care yeye anachowaza ni lini ataipata jezi ya Drogba.Hivi Kikwete akiangalia hizi picha anajisikiaje?
[/QUOTE]BlackGold,
Hufanani na jina unalotumia japo tunajua ni bandia. Ni kukosa ujasiri kutumia jina bandia na kubandika postnya kipuuzi kama hii. Ni uchochezi wa Hali ya juu,na ujinga usio na mipaka kufikiria kuwa Chadema wanaweza kujifanyia jambo Kama hili la kujishambulia wenyewe na kujiulia makamanda na wananchi wao. Ni kufilisika kisiasa kuwa na mawazo Kama haya katika siku Kama hii ambako Wanachadema Tanzania nzima, na wapenzi na wananchi kwa ujumla wanamlilia mwenzao, hata kabla hajawekwa kwenye nyumba yake ya milele kuna hayawani kwa kutumia jina bandia ana mawazo ya kipuuzi Kama yako. Jifikirie ndugu yangu! Maisha ya binadamu yana mwisho. Damu ya Judith inamlilia Mungu wake Nina hakika pamoja na upuuzi wako na wenzako Kama wewe Mwenyezi Mungu atawaumbua hadharani Kama ambavyo amefanya katika mazingira yote ya propaganda zenu za kipuuzi. Inaudhi sana. Binadamu kuwa navroho ya kinyama!
QUOTE=BlackGold_;6633958]Yaani these few "think tanks" za cdm kweli zimewaweza wana Arusha, kama kuna mtu mwenye kuona mbali basi atakubaliana na mimi!!
Kwanza kabisa walichofanya ni kutafuta sababu ya kuamsha mori ya watu, hii we all know kwamba ili mtu apigane basi lazima awe na sababu otherwise chizi, wameua watu wasio na hatia ili tu waitafutie serikali doa! Wamejitonesha wao kwa wao halafu kwa sababu kuna a big guy on the corner, ambaye wanataka kumtafutia sababu, mwisho wa siku wanampakazia mabaya yao yote ili tu kumchafua!!
Kwa kweli niko calm ila sio siri chadema bakieni huko huko na ujinga wenu wa kuteka akili za watu, mnajifanya mna watu, that bull***t, kumbe ni watu wasiokuwa na elimu ya kujitambua, Mhh na mnawatumia kwelikweli!! Kinachoniuma zaidi ni ile watu,"majority" kutojielewa nao mkumbo wana_support mambo kishabiki, ngoja kesho kutwa waichukue Arusha kweli, muone vijana wenzangu wakaa vijiweni kama mtakula ugali kirahisi rahisi kama mnavyodhani na kuahidiwa!!
Wito wangu cdm acheni kumwaga damu za watu indirectly halafu mnasingizia ni serikali.
He doesn't care yeye anachowaza ni lini ataipata jezi ya Drogba.