kisasi kimeruhusiwa maana jicho kwa jicho na jino kwa jino. Aliyeuwa na yeye auwawe tu familia yake na wao waone uchungu
Marehemu wengine walisafirishwa juzi usiku kuelekea Tanga na Tabora huku jana majeruhi mwingine akiaga dunia kwa bomu na risasi za tarehe 15.06.2013..
Tuko kwenye msafara kuelekea sokoni I kwenda kumpumzisha ndugu, mpendwa wetu Judy William,nitawaletea kitakachokuwa kinajili.
.
May her soul rest in internal peace.
Amen