KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,314
Shibuda je?
Haina haja ya tasfiri na wewe Iyo nokelio kisewa mbwigaIyo nokelio kisewa! tafuta anayejua akutafsrie!!
Huu si wakati wa kufanya kejeli wakati watu tuna machungu ya kuondokewa na mwenzetu aliyejitoa kwa hali mpaka kifo kupigania ukombozi katika nchi hii.Muitunze familia yake sasa, sio mazishi yakiisha muwasahau.
Leo POLISISIEM wameruhusu waombolezaje wakusanyike?
Asante Crashwise kwa picha, pamoja na Pinda kuruhusu polisi kuua lakini hawatatumaliza wote atakayebaki ndiye atatuwakilisha.CCM mna pesa na majeshi, CHADEMA tuna MUNGU na WATU...hamtatuua wapenda mabadiliko wote nchini...
Muitunze familia yake sasa, sio mazishi yakiisha muwasahau.
Makuyuni piaUsiwasahau watu wa Mbeya, Songea,....
Muitunze familia yake sasa, sio mazishi yakiisha muwasahau.
Haina haja ya tasfiri na wewe Iyo nokelio kisewa mbwiga
Sawa tu plan A ikishindwa tunaendelea na plan B.Wameshaanza propaganda kwamba Chadema inatumika na Rwanda. Upumbavu siyo kula mavi tu
We acha tu ndugu yangu hawa Waarusha wanatia moyo sana kwa msimamo wao madhubuti dhidi ya Serikali dhalimu.
Mwigulu anaupakokauli ya mwigulu imetimia kuwa wakienda kwenye mikutano ya chadema watakufa