Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

Mazishi ya kiongozi wa CHADEMA - Judith William

Au watasema wa2 wameanza kuandamana tena bila kibali? Chagonja apo vipi?

Mkuu watanzania wa kawaida kuandamana ni jadi yao! Watoto wanapotoka nyumbani kwenda shule ni maandamano, tunapotembea barabarani kwenda kutafuta riziki ni maandamano!
Namshangaa Nape anasema watu wa Arusha wamechoka maandamano, kwani amewanunulia usafiri?

Tutaandamana sana

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hasira zangu zimewaka sana nafikiria kuchukua silaha yoyote ile na kuwakabili hawa maaluni single handed ,..tunawaacha hadi lini??
Mzuka wako ukipanda hata nguo OSOKONI utavua vuaaa,mzuka wako ukipanda OSOKONI hata Bomu utarusha rushaaaaaaa!!!
 
....Mara zote duniani DAMU YA MTU ISIYOKUWA NA HATIA KAMA HII ....HUWA HAIPOTEI BURE ...............
 
Mzuka wako ukipanda hata nguo OSOKONI utavua vuaaa,mzuka wako ukipanda OSOKONI hata Bomu utarusha rushaaaaaaa!!!
U must be suffering from rectal prolapse as a result of serukambism.
 
Poleni sana, Mwenyezi Mungu azidi kuwapa nguvu na kuwalinda kutokana hila na manyanyaso ya waovu.
 
Poleni sana makamanda mungu wetu ni mwema..atampa kila mtu stahili yake
 
RIP Kamanda..
Jina lako lisisahauliwe katika majina ya watu walioshiriki kulikomboa taifa hili dhidi ya Dola iliyoasi wananchi!
Arusha mko juu sana! Tunawapongeza kwa kutokata tamaa kwenu tuko pamoja!
 
Mzuka wako ukipanda hata nguo OSOKONI utavua vuaaa,mzuka wako ukipanda OSOKONI hata Bomu utarusha rushaaaaaaa!!!

Mkuu pole kwa kazi ngumu uliyokabidhiwa maana,lazima ujitoe ufahamu ndio utafanikiwa hii kazi,pole sana na kazi njema.
 
Arusha na Mtwara wananipa matumaini makubwa ya mabadiliko ya kiutawala. RIP Dada
 
Tupo hapa kwenye misa wapo kina sugu,mnyika,mdee na wabunge wengine .
 
Silaha ziko kibao, wewe chukua moja kama kesho hayakufanyika mazishi mengine, Pinda kishatoa amri, anasema PIGA.

huwa siogopi hilo kwa kuwa hata ukiogopa siku ikifika imefika tuu!!!
 
Back
Top Bottom