Hivi angekuwa ni mama yako, ama kama una mke ni mkeo , au kama wewe ni Binti ni mumeo , utaweza kuandika hayo unayoyaandika ? Au ungekuta wengine wameandika hivyo wakati una msiba ungejisikiaje ? Tuwe japo na huruma wakati huu.........Muitunze familia yake sasa, sio mazishi yakiisha muwasahau.
Kwakweli inatia moyo kuona wana wa arusha hawatenganishwi na nguvu za dola, hawatenganishwi ka mabomu wala risasi za moto!
Watu wa Arusha ni wamoja.
Mungu atusaidie sana
Kwakweli inatia moyo kuona wana wa arusha hawatenganishwi na nguvu za dola, hawatenganishwi ka mabomu wala risasi za moto!
Watu wa Arusha ni wamoja.
Mungu atusaidie sana
Muitunze familia yake sasa, sio mazishi yakiisha muwasahau.
haya sasa mazishi hayajaisha mnaanza kumruka.Polisi na CCM wanawajibika kwasababu ndiyo walio muua...
Silaha ziko kibao, wewe chukua moja kama kesho hayakufanyika mazishi mengine, Pinda kishatoa amri, anasema PIGA.Hasira zangu zimewaka sana nafikiria kuchukua silaha yoyote ile na kuwakabili hawa maaluni single handed ,..tunawaacha hadi lini??