Mazishi ya Bilionea SAMBEKE yatikisa mji

Mazishi ya Bilionea SAMBEKE yatikisa mji

Anastahili kuitwa bilionea kwn alikuwa na uwezo wakumkopesha mtu mpaka b5

Huu ni mtaji wa kuanzisha Bank ! .......anakopesha kwa vibali gani kiasi hicho ......? au ndo njia nyingine ya kwapiga nyangema ?
 
Kule zambia nako ibada ya kumuombea imemalizika

Ana makazi Zambia, vitega uchumi au aliiba huko magari?? Maana waliopoteza ndugu zao kwa kupigwa shaba na kuibiwa magari South Africa, Botswasa, Namibia na Zambia ni lazima wafanye ibada ya kumbukumbu.
 
Ana makazi Zambia, vitega uchumi au aliiba huko magari?? Maana waliopoteza ndugu zao kwa kupigwa shaba na kuibiwa magari South Africa, Botswasa, Namibia na Zambia ni lazima wafanye ibada ya kumbukumbu.
Ndio maana akaitwa bilionea aliwekeza mpaka nje ya nchi Nairobi pia amewekeza
 
Pamoja na kuwa na sifa ya ujambazi, lakini kistaarabu tunaheshimu binadamu wote marehemu,
RIP Babuu,
ukapumzike wote dhambi ni zetu, hatuwezi kukuhukumu.
Poleni wafiwa
 
Haaa ! Ile si Bajaj ! ? Kuna sred ya ndege za wenyewe itafute humu mzee !

Ally Kombo, those are world billionares, huyu ni billionaire wa Tanzania. Btw mtu ananunua ndege kulingana na mahitaji yake, Hzo Jet kwa mtu wa shamba kama Sambeke hazimsaidii kitu kwa sababu hawezi kutua shambani kwake. A Billionaire (originally and sometimes still Billionnaire[SUP][1][/SUP]) is an individual whose net worth or wealth is equal to or exceeds one Billion units of currency. It can also be a person who owns one Billion units of currency in a bank account or savings account. Kwa tafsiri hiyo basi Hakuna ubishi kwamba Sambeke ni Billionaire, Na kama mtu anabisha basi ana sababu zake. Na mjue kumiliki Jet si kipimo cha Ubillionaire, wapo watu kibao tu hapa tanzania wenye uwezo wa kununua na kuendesha hizo Jet lakini hawana, namfahamu Billionaire mmoja ambaye anaingiza faida ya wastani wa TZS 500M kila mwezi lakini anaendesha Harrier!!!
 
RIP SAMBEKE. Nafikiri ni aibu kutamka mwenzako ni jambazi over his dead body wakati akiwa hai khukufanya lolote linalompasa Raia mwema kuhusiana na tuhuma hizo,ni umbumbumbu wa sheria.Sambeke alikuwa baba,mume,rafiki,jirani,partner,na kila kitu kingine kizuri kwa watu wengi pia!WOGA KUMSEMA MAREHEMU!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom