Tupo kwenye mazishi ya bilionea Sambeke watu ni wengi na bdo wanazidi kuingia wafanyabiashara wote wa mji wako hapa ni kama shughuli zimesimama umati ni mkubwa.
Tupo kwenye mazishi ya bilionea Sambeke watu ni wengi na bdo wanazidi kuingia wafanyabiashara wote wa mji wako hapa ni kama shughuli zimesimama umati ni mkubwa.
Alishawahi kukuibia na una ushahidi? Mbona hukuvitaarifu vyombo vya usalama kabla ya kifo chake?sio bilionea ni jambazi sembeke!!!!mungu azirehemu roho zote zilizoteketea kupitia mtu huyu!!!!amen,naye ammpe hukumu yake stahili,amen.
Acha matusi wewe mpuuzi!!Majambazi wenzake nao wamefika??
Sambeke sidhani kama ni haki kumuita bilionea, unless kuwe na ushahidi wa kutosha kuhusu hilo jamani. RIP Bob Sambeke.
Anamiliki kampuni ya utalii ya Ahsante toursKiongozi! Hivi huyu Bob Sambeke anamiliki nini hapa A town? Ama pale Moshi Mjini?
Ama ni ile ndege moja mbili aliyonayo?
Copy kwa
PakaJimmy
Filipo
Arushaone
Preta
Blaki Womani
Hebu mwenye kujua miradi ya huyu marehemu bilionea anayetajwa hapa kwamba ni BILIONEA.
Mi najua gari mbili aina ya landcruiser pickup anayomiliki na nyumbani kwake pale njiro!
Kiongozi! Hivi huyu Bob Sambeke anamiliki nini hapa A town? Ama pale Moshi Mjini?
Ama ni ile ndege moja mbili aliyonayo?
Copy kwa
PakaJimmy
Filipo
Arushaone
Preta
Blaki Womani
Hebu mwenye kujua miradi ya huyu marehemu bilionea anayetajwa hapa kwamba ni BILIONEA.
Mi najua gari mbili aina ya landcruiser pickup anayomiliki na nyumbani kwake pale njiro!