Suzie
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 1,259
- 409
just curious...huyu dogo mbona anataka kufanana na Nyaga Mawala?
Sikuwahi kumjua Nyaga ila huyu ndo namuona hapa nitajitahidi asinipite
just curious...huyu dogo mbona anataka kufanana na Nyaga Mawala?
When your time comes it come. You can never avoid nor cheat on this one. Just be ready. That's all!
Bdo mwili upo kanisani huku nyumbani kuna skrini kubwa zimefungwa zinaonyesha matukio yote tokea aanze kurusha ndege[/QUOTE
Hivi huyo alikuwa bilionea au mtoto wa mjini? biashara gani ya kumwita bilionea? hiyo ndege masalia ya laki 5? achene ushabiki watu Arusha.
Duh!Umejiunga ili uje kubishana humu kuhusu ubilionea wa Babu?Bdo mwili upo kanisani huku nyumbani kuna skrini kubwa zimefungwa zinaonyesha matukio yote tokea aanze kurusha ndege[/QUOTE
Hivi huyo alikuwa bilionea au mtoto wa mjini? biashara gani ya kumwita bilionea? hiyo ndege masalia ya laki 5? achene ushabiki watu Arusha.
BTW he was BOTH...
Kwasababu amekufa kwenye ajali ya hiyo ndege basi wewe unajuwa ni Babu na ndege,basi,nothing else.Halafu unaita watu washabiki as if unafahamu unachoongea.
Very fine,vipi wewe?Kumbe. . .
Hujambo lakini?
Very fine,vipi wewe?
Ha ha ha ha!Muhim kwasana tu.Mzima!
Hukatizi chit chat siku hizi, au na wewe unasaka bilioni?
*Nimegundua marehemu hakuwa billionare bali ana singiziwa tuu!
*Hakuna aliyeweza kueleza vyema mali alizokuwa ana miliki au hata assets!
*Hakuna aliyeweza kueleza pengine wapi assets zake zina patikana wapi au hata kwa picha!
*Nime gundua marehemu alifanya mambo yake kwa siri sana na ndio maana hakuna anaye mfahamu kabisa!
*Nimegundua marehemu alikuwa na biashara zisizo za halali ndio chanzo cha usiri huo!
Mungu amlaze marehemu panapo stahili na tuache kumsingizia hakuwa billionare bali alimiliki ndege!
Ha ha ha ha!Muhim kwasana tu.
However niko sana tu around,halafu si unajuwa kuna ile kitu inaitwa "tag"
Milioni kwa maana ya dola elfu?He he he, saka bilioni, mie bbado nasaka milioni.
Nilidhani umerudi shule. Ntaanza kukutag
Unakosea hapo unaposema wachungaji na hili ndo tatizo lenu wengi wa huko lazima mnatafuta kitu kidogo hata hamjui vizuri mnakisimamia. Wale hawahubiri utajiri ila wanakwambia kabisa dhambi zako ndizo zinakufanya hufanikiwi na ukitaka ufanikiwe ni lazima uache kinyongo, ugawe kidogo ulicho nacho na mambo yote yanayomuudhi Mungu utafunguliwa na kufanikiwa. Sasa nyie mlio nje mnatafsiri neno moja njoo utajirike unasimama nalo wala huelewi linamaanisha nini. Yaani kumbe huna tofauti nao kabisa kwanini sasa?
"When your time comes it come"????? Unapenda sana kuandika kiingereza najua ni lugha yetu ya tatu ila makosa yako mbona ni ya standard three(tenses)
haujui kiingereza