AMEN.Mungu naomba atusaidie.Utuondolee hii kitu baba ,tumetubu na uturehemu sawasawa na fadhili zako.Kiasi cha wingi wa rehema zako utusamehe makosa yetu.Zab51.Amen
AMEN.Mungu naomba atusaidie.Utuondolee hii kitu baba ,tumetubu na uturehemu sawasawa na fadhili zako.Kiasi cha wingi wa rehema zako utusamehe makosa yetu.Zab51.Amen
Sasa unataka kuiga kunya kwa tembo?Kwani China wao nani kawasaidia pes
Duuuu Mungu tutapona tuWanasema makundi makubwa sana ya Nzige kutoka Kenya yanaelekea Tanzania yetu sio swarms tena bali ni plague wamezaana Kenya na Somalia na Ethiopia
Kenya imetangaza kuomba msaada kawani imeshindwa kuwadhibiti
View attachment 1450698
View attachment 1450698View attachment 1450714
AminaMungu naomba atusaidie.Utuondolee hii kitu baba ,tumetubu na uturehemu sawasawa na fadhili zako.Kiasi cha wingi wa rehema zako utusamehe makosa yetu.Zab51.Amen
Nilitaka sema hivyo hivyo vibaka wataongezeka sana