Maxence Melo na JF ni underrated. Wapewe heshima wanayostahili, wao ni zaidi ya akina tiGO, Voda na wengine

Maxence Melo kama unanisikia chukua huu ushauri:

Peleka JF next levels kutokana na mazingira ya kitanzania.

Mfano:
Tengeneza Jukwaa la 'Private ama VIP'. Hili jukwaa liwe la kulipiwa ili ujiunge.

Ndani ya hili jukwaa kuwepo na watala wabobezi ama watu wazoefu wa fani mbalimbali. Mfano wanasheria, wahasibu, madaktari, mainjia, manesi, watu wa MAHUSIANO, washauri nasaha, n.k.

Ambapo humo watu hutoa ushauri au muongozo wa masuala mbalimbali yanayowahusu watu ile serious. Yaani like mtu anafanyiwa consultation ya kulipiwa kabisa hv. Watu sio wachoyo wa Ku share mambo!

Humu ndio kuwe na connection ya kila aina. Waalike watu competent wa kila sekta kwa ajili ya jukwaa hili la VIP.

Humu ukiwa na subscribers 100,000 kila mmoja sh 2,000 kwa mwaka ni Sawa na sh. 200,000,000/- kwa mwaka.

Yaani humu VIP unajitahidi kila uwezavyo pawe ndio pahala pa kupata info sahihi za chochote kile.

JF ya kawaida imevamiwa mno na huwezi ku strict sana kiwango cha watu kujiunga. Lkn humu VIP kunakuwa ni sehemu very reliable kupata info zozote zile ama ushauri wowote ule.

Maxence Melo
 
Ki ukweli Mello na JF kwa ujumla ni wadogo sana ukilinganisha na akina Tigo, Voda na wengine.

Lakini hawa Jamaa pamoja na udogo wao wamepambana waziwazi mahakamani kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.

Hawa Jamaa wamepambana uso kwa uso na Polisi.

Wamepambana uso kwa uso mahakamani.

Wamepambana uso kwa uso na Serikali ya awamu zote.

Na zaidi ya yote bado Jamaa hawaja surrender. Yaani bado msimamo wao nni ule ule wa kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.

Haijawahi kutokea hata kwa mara moja mtu kwa kutumia ID ya JF akapelekwa mahakamani kwa sababu ya andiko lake humu.

Haijawahi kutokea hata mara moja user wa JF akapelekwa Polisi kwa sababu ya andiko lake humu.

Yote hayo ni kwa sababu Mello kama Mkurugenzi Mtendaji wa JF kwa ujumla husimama imara kulinda faragha ya wateja wao.

Kuna mtu anaweza kudhani hii kazi ni ndogo sana. Ukitaka kujua uzito wa hii kazi kumbuke yale ya akina Voda na haya ya sasa ya akina Tigo.

Ki ukweli Mello na JF kwa ujumla wapo under rated mno !

Swali dogo:

Najua na inajulikana kuna watu kwenye mamlaka ambao mara kadhaa wametaka kufahamu privacy kadhaa za watumiaji wa mitandao yao.

Je, ni lini walau kumewahi kuwepo hata kesi moja ya uchawara mitandao hio ikijaribu kulinda faragha ya wateja wake?
Ila watanzania sijui tumepatwa na nini. Tuna mihemko sana mpaka uwezo wa kufikiri umekuwa mdogo. Tunalazimisha sana mambo ambayo hayana uhalisia yaonekane kama ni halisi.

Anyway, mimi sina nia ya kuharibu biashara ya mtu.

Ila ninachojua Melo alikuwa na kesi na kampuni ya Oil com.
Hao Oil com ndio walikiwa wanahitaji mtu humu na wakawa wanahonha polisi ili wamshurutishe Melo awape data za huyo mtu.

Hata Melo mwenyewe amewahi kusema humu kuwa hao Oilcom wenyewe walikuwa tayari kumpa pesa amtaje huyo mtu.

Ika ninachokuthibishia na hata kama hutaki, Melo wala kampuni yoyote Tanzania ambayo inafanya kazi zake ndani ya ardhi hii haina uwezo wa kukulinda wewe kama mamlaka za kiserikali ( hasa zenye political power ) zikikuhitaji. Hakuna.

Kubali au kataa.

Na hata Melo mwenyewe anajua hilo hata kama hasemi na ndio maana kuepusha hilo, censorship inayofanyika humu siyo ya kitoto.

Akiona jambo lolote anafuta mapema sana kuepuka dhahama.
 
Ila watanzania sijui tumepatwa na nini. Tuna mihemko sana mpaka uwezo wa kufikiri umekuwa mdogo. Tunalazimisha sana mambo ambayo hayana uhalisia yaonekane kama ni halisi.

Anyway, mimi sina nia ya kuharibu biashara ya mtu.

Ila ninachojua Melo alikuwa na kesi na kampuni ya Oil com.
Hao Oil com ndio walikiwa wanahitaji mtu humu na wakawa wanahonha polisi ili wamshurutishe Melo awape data za huyo mtu.

Hata Melo mwenyewe amewahi kusema humu kuwa hao Oilcom wenyewe walikuwa tayari kumpa pesa amtaje huyo mtu.

Ika ninachokuthibishia na hata kama hutaki, Melo wala kampuni yoyote Tanzania ambayo inafanya kazi zake ndani ya ardhi hii haina uwezo wa kukulinda wewe kama mamlaka za kiserikali ( hasa zenye political power ) zikikuhitaji. Hakuna.

Kubali au kataa.

Na hata Melo mwenyewe anajua hilo hata kama hasemi na ndio maana kuepusha hilo, censorship inayofanyika humu siyo ya kitoto.

Akiona jambo lolote anafuta mapema sana kuepuka dhahama.
Kuna Jambo moja ambalo hujajua.

Hatuhitaji uhakika wa 💯 kwa kila Jambo lkn walau juhudi za 💯 zionekane.

Nachosema Mello anajitahidi mno ukilinganisha na wengine
 
Kuna Jambo moja ambalo hujajua.

Hatuhitaji uhakika wa 💯 kwa kila Jambo lkn walau juhudi za 💯 zionekane.

Nachosema Mello anajitahidi mno ukilinganisha na wengine
Usalama wako unaanza na wewe mwenyewe.

Busara ni kutojitutumua kutaka vita ya kupambana na vitu ambavyo unajua kabisa huwezi kushinda na sana utaumia tu.

Ben Saanane yuko wapi ?

Ila watu wanaendelea na maisha kama vile hakijatokea kitu..

Kinachoweza kupambana na serikali ni UMMA pekee.

Hakuna shujaa mmoja mbele ya Dola.

Huo ndio UHALISIA.

Usiweke matarajio kwa watu kuhusu usalama wako.

Utakuja kuuzwa na hakuna mtu utakuja kujua kama umewahi kuwepo Online.

Kwani wewe ni nani kwenye hii nchi yenye watu milioni 60? Who knows you ?

Usuone kina Mnyika wanakwepa kusema directly watu ingieni bara barani muaandamane Mbowe aachiwe ukafikiri ni wajinga.

Hao kina Zitto sometimes huwa wanaandika tweets nzito halafu wanafikiria wanafuta.

Sumaye amewahi kuitwa Ikulu enzi akiwa CDM akawa anaongea kwa uwoga mpaka hata alichokuwa anataka kusema kikapoteza maana.

Dola ni shetani asikwambie mtu. Kaa tulia, pitia YouTube, wasikilize masheikh wa UAMSHO kabla ya kukamatwa na baada ya kuachiwa Huru.
 
Maxence Melo kama unanisikia chukua huu ushauri:

Peleka JF next levels kutokana na mazingira ya kitanzania.

Mfano:
Tengeneza Jukwaa la 'Private ama VIP'. Hili jukwaa liwe la kulipiwa ili ujiunge.

Ndani ya hili jukwaa kuwepo na watala wabobezi ama watu wazoefu wa fani mbalimbali. Mfano wanasheria, wahasibu, madaktari, mainjia, manesi, watu wa MAHUSIANO, washauri nasaha, n.k.

Ambapo humo watu hutoa ushauri au muongozo wa masuala mbalimbali yanayowahusu watu ile serious. Yaani like mtu anafanyiwa consultation ya kulipiwa kabisa hv. Watu sio wachoyo wa Ku share mambo!

Humu ndio kuwe na connection ya kila aina. Waalike watu competent wa kila sekta kwa ajili ya jukwaa hili la VIP.

Humu ukiwa na subscribers 100,000 kila mmoja sh 2,000 kwa mwaka ni Sawa na sh. 200,000,000/- kwa mwaka.

Yaani humu VIP unajitahidi kila uwezavyo pawe ndio pahala pa kupata info sahihi za chochote kile.

JF ya kawaida imevamiwa mno na huwezi ku strict sana kiwango cha watu kujiunga. Lkn humu VIP kunakuwa ni sehemu very reliable kupata info zozote zile ama ushauri wowote ule.

Maxence Melo
Ukiisha anzisha hizo mambo tarajia kupungua ama kuondoka kabisa kwa usiri wa taarifa.
 
Ki ukweli Mello na JF kwa ujumla ni wadogo sana ukilinganisha na akina Tigo, Voda na wengine.

Lakini hawa Jamaa pamoja na udogo wao wamepambana waziwazi mahakamani kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.

Hawa Jamaa wamepambana uso kwa uso na Polisi.

Wamepambana uso kwa uso mahakamani.

Wamepambana uso kwa uso na Serikali ya awamu zote.

Na zaidi ya yote bado Jamaa hawaja surrender. Yaani bado msimamo wao nni ule ule wa kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.

Haijawahi kutokea hata kwa mara moja mtu kwa kutumia ID ya JF akapelekwa mahakamani kwa sababu ya andiko lake humu.

Haijawahi kutokea hata mara moja user wa JF akapelekwa Polisi kwa sababu ya andiko lake humu.

Yote hayo ni kwa sababu Mello kama Mkurugenzi Mtendaji wa JF kwa ujumla husimama imara kulinda faragha ya wateja wao.

Kuna mtu anaweza kudhani hii kazi ni ndogo sana. Ukitaka kujua uzito wa hii kazi kumbuke yale ya akina Voda na haya ya sasa ya akina Tigo.

Ki ukweli Mello na JF kwa ujumla wapo under rated mno !

Swali dogo:

Najua na inajulikana kuna watu kwenye mamlaka ambao mara kadhaa wametaka kufahamu privacy kadhaa za watumiaji wa mitandao yao.

Je, ni lini walau kumewahi kuwepo hata kesi moja ya uchawara mitandao hio ikijaribu kulinda faragha ya wateja wake?
Huo ni unafiki wenu tu unawasumbua!
 
Ki ukweli Mello na JF kwa ujumla ni wadogo sana ukilinganisha na akina Tigo, Voda na wengine.

Lakini hawa Jamaa pamoja na udogo wao wamepambana waziwazi mahakamani kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.

Hawa Jamaa wamepambana uso kwa uso na Polisi.

Wamepambana uso kwa uso mahakamani.

Wamepambana uso kwa uso na Serikali ya awamu zote.

Na zaidi ya yote bado Jamaa hawaja surrender. Yaani bado msimamo wao nni ule ule wa kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.

Haijawahi kutokea hata kwa mara moja mtu kwa kutumia ID ya JF akapelekwa mahakamani kwa sababu ya andiko lake humu.

Haijawahi kutokea hata mara moja user wa JF akapelekwa Polisi kwa sababu ya andiko lake humu.

Yote hayo ni kwa sababu Mello kama Mkurugenzi Mtendaji wa JF kwa ujumla husimama imara kulinda faragha ya wateja wao.

Kuna mtu anaweza kudhani hii kazi ni ndogo sana. Ukitaka kujua uzito wa hii kazi kumbuke yale ya akina Voda na haya ya sasa ya akina Tigo.

Ki ukweli Mello na JF kwa ujumla wapo under rated mno !

Swali dogo:

Najua na inajulikana kuna watu kwenye mamlaka ambao mara kadhaa wametaka kufahamu privacy kadhaa za watumiaji wa mitandao yao.

Je, ni lini walau kumewahi kuwepo hata kesi moja ya uchawara mitandao hio ikijaribu kulinda faragha ya wateja wake?
Mungu ibariki JF
 
Waliotaka taarifa za member ni polisi na Jamii Forum walikataa kuzitoa.
Ila watanzania sijui tumepatwa na nini. Tuna mihemko sana mpaka uwezo wa kufikiri umekuwa mdogo. Tunalazimisha sana mambo ambayo hayana uhalisia yaonekane kama ni halisi.

Anyway, mimi sina nia ya kuharibu biashara ya mtu.

Ila ninachojua Melo alikuwa na kesi na kampuni ya Oil com.
Hao Oil com ndio walikiwa wanahitaji mtu humu na wakawa wanahonha polisi ili wamshurutishe Melo awape data za huyo mtu.

Hata Melo mwenyewe amewahi kusema humu kuwa hao Oilcom wenyewe walikuwa tayari kumpa pesa amtaje huyo mtu.

Ika ninachokuthibishia na hata kama hutaki, Melo wala kampuni yoyote Tanzania ambayo inafanya kazi zake ndani ya ardhi hii haina uwezo wa kukulinda wewe kama mamlaka za kiserikali ( hasa zenye political power ) zikikuhitaji. Hakuna.

Kubali au kataa.

Na hata Melo mwenyewe anajua hilo hata kama hasemi na ndio maana kuepusha hilo, censorship inayofanyika humu siyo ya kitoto.

Akiona jambo lolote anafuta mapema sana kuepuka dhahama.
 
Ki ukweli Mello na JF kwa ujumla ni wadogo sana ukilinganisha na akina Tigo, Voda na wengine.

Lakini hawa Jamaa pamoja na udogo wao wamepambana waziwazi mahakamani kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.

Hawa Jamaa wamepambana uso kwa uso na Polisi.

Wamepambana uso kwa uso mahakamani.

Wamepambana uso kwa uso na Serikali ya awamu zote.

Na zaidi ya yote bado Jamaa hawaja surrender. Yaani bado msimamo wao nni ule ule wa kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.

Haijawahi kutokea hata kwa mara moja mtu kwa kutumia ID ya JF akapelekwa mahakamani kwa sababu ya andiko lake humu.

Haijawahi kutokea hata mara moja user wa JF akapelekwa Polisi kwa sababu ya andiko lake humu.

Yote hayo ni kwa sababu Mello kama Mkurugenzi Mtendaji wa JF kwa ujumla husimama imara kulinda faragha ya wateja wao.

Kuna mtu anaweza kudhani hii kazi ni ndogo sana. Ukitaka kujua uzito wa hii kazi kumbuke yale ya akina Voda na haya ya sasa ya akina Tigo.

Ki ukweli Mello na JF kwa ujumla wapo under rated mno !

Swali dogo:

Najua na inajulikana kuna watu kwenye mamlaka ambao mara kadhaa wametaka kufahamu privacy kadhaa za watumiaji wa mitandao yao.

Je, ni lini walau kumewahi kuwepo hata kesi moja ya uchawara mitandao hio ikijaribu kulinda faragha ya wateja wake?
Yule mtu wa Tigo ni Mtu wa usalama na hata hao tigo wenyewe huenda hawakumjua nyoka wako wengi sana kwenye hizo shirika

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Max Mello i celebrate you comrade , you have been superb during these 15 years of ups and downs. Keep the fire burning VIVA
 
Ki ukweli Melo na JF kwa ujumla ni wadogo sana ukilinganisha na akina Tigo, Voda na wengine.

Lakini hawa Jamaa pamoja na udogo wao wamepambana waziwazi mahakamani kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.

Hawa Jamaa wamepambana uso kwa uso na Polisi.

Wamepambana uso kwa uso mahakamani.

Wamepambana uso kwa uso na Serikali ya awamu zote.

Na zaidi ya yote bado Jamaa hawaja surrender. Yaani bado msimamo wao nni ule ule wa kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.

Haijawahi kutokea hata kwa mara moja mtu kwa kutumia ID ya JF akapelekwa mahakamani kwa sababu ya andiko lake humu.

Haijawahi kutokea hata mara moja user wa JF akapelekwa Polisi kwa sababu ya andiko lake humu.

Yote hayo ni kwa sababu Mello kama Mkurugenzi Mtendaji wa JF kwa ujumla husimama imara kulinda faragha ya wateja wao.

Kuna mtu anaweza kudhani hii kazi ni ndogo sana. Ukitaka kujua uzito wa hii kazi kumbuke yale ya akina Voda na haya ya sasa ya akina Tigo.

Ki ukweli Mello na JF kwa ujumla wapo under rated mno !

Swali dogo:

Najua na inajulikana kuna watu kwenye mamlaka ambao mara kadhaa wametaka kufahamu privacy kadhaa za watumiaji wa mitandao yao.

Je, ni lini walau kumewahi kuwepo hata kesi moja ya uchawara mitandao hio ikijaribu kulinda faragha ya wateja wake?
 
Ki ukweli Melo na JF kwa ujumla ni wadogo sana ukilinganisha na akina Tigo, Voda na wengine.

Lakini hawa Jamaa pamoja na udogo wao wamepambana waziwazi mahakamani kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.

Hawa Jamaa wamepambana uso kwa uso na Polisi.

Wamepambana uso kwa uso mahakamani.

Wamepambana uso kwa uso na Serikali ya awamu zote.

Na zaidi ya yote bado Jamaa hawaja surrender. Yaani bado msimamo wao nni ule ule wa kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.

Haijawahi kutokea hata kwa mara moja mtu kwa kutumia ID ya JF akapelekwa mahakamani kwa sababu ya andiko lake humu.

Haijawahi kutokea hata mara moja user wa JF akapelekwa Polisi kwa sababu ya andiko lake humu.

Yote hayo ni kwa sababu Mello kama Mkurugenzi Mtendaji wa JF kwa ujumla husimama imara kulinda faragha ya wateja wao.

Kuna mtu anaweza kudhani hii kazi ni ndogo sana. Ukitaka kujua uzito wa hii kazi kumbuke yale ya akina Voda na haya ya sasa ya akina Tigo.

Ki ukweli Mello na JF kwa ujumla wapo under rated mno !

Swali dogo:

Najua na inajulikana kuna watu kwenye mamlaka ambao mara kadhaa wametaka kufahamu privacy kadhaa za watumiaji wa mitandao yao.

Je, ni lini walau kumewahi kuwepo hata kesi moja ya uchawara mitandao hio ikijaribu kulinda faragha ya wateja wake?
Magufuli akiwa na mwezi mmoja madarakani niliacha kutumia fb nilijua ni mpumbavu usiyejua lolote kuhusu haki za watu na utawala wa sheria. Ningekuwa fb leo sijui ningekuwa hai au kuzimu
 
Back
Top Bottom