CCM Music
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 1,036
- 1,782
Ki ukweli Melo na JF kwa ujumla ni wadogo sana ukilinganisha na akina Tigo, Voda na wengine.
Lakini hawa Jamaa pamoja na udogo wao wamepambana waziwazi mahakamani kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.
Hawa Jamaa wamepambana uso kwa uso na Polisi.
Wamepambana uso kwa uso mahakamani.
Wamepambana uso kwa uso na Serikali ya awamu zote.
Na zaidi ya yote bado Jamaa hawaja surrender. Yaani bado msimamo wao nni ule ule wa kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.
Haijawahi kutokea hata kwa mara moja mtu kwa kutumia ID ya JF akapelekwa mahakamani kwa sababu ya andiko lake humu.
Haijawahi kutokea hata mara moja user wa JF akapelekwa Polisi kwa sababu ya andiko lake humu.
Yote hayo ni kwa sababu Melo kama Mkurugenzi Mtendaji wa JF kwa ujumla husimama imara kulinda faragha ya wateja wao.
Kuna mtu anaweza kudhani hii kazi ni ndogo sana. Ukitaka kujua uzito wa hii kazi kumbuke yale ya akina Voda na haya ya sasa ya akina Tigo.
Ki ukweli Melo na JF kwa ujumla wapo under rated mno !
Swali dogo:
Najua na inajulikana kuna watu kwenye mamlaka ambao mara kadhaa wametaka kufahamu privacy kadhaa za watumiaji wa mitandao yao.
Je, ni lini walau kumewahi kuwepo hata kesi moja ya uchawara mitandao hio ikijaribu kulinda faragha ya wateja wake?
Lakini hawa Jamaa pamoja na udogo wao wamepambana waziwazi mahakamani kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.
Hawa Jamaa wamepambana uso kwa uso na Polisi.
Wamepambana uso kwa uso mahakamani.
Wamepambana uso kwa uso na Serikali ya awamu zote.
Na zaidi ya yote bado Jamaa hawaja surrender. Yaani bado msimamo wao nni ule ule wa kulinda faragha ya watumiaji wa mtandao wao.
Haijawahi kutokea hata kwa mara moja mtu kwa kutumia ID ya JF akapelekwa mahakamani kwa sababu ya andiko lake humu.
Haijawahi kutokea hata mara moja user wa JF akapelekwa Polisi kwa sababu ya andiko lake humu.
Yote hayo ni kwa sababu Melo kama Mkurugenzi Mtendaji wa JF kwa ujumla husimama imara kulinda faragha ya wateja wao.
Kuna mtu anaweza kudhani hii kazi ni ndogo sana. Ukitaka kujua uzito wa hii kazi kumbuke yale ya akina Voda na haya ya sasa ya akina Tigo.
Ki ukweli Melo na JF kwa ujumla wapo under rated mno !
Swali dogo:
Najua na inajulikana kuna watu kwenye mamlaka ambao mara kadhaa wametaka kufahamu privacy kadhaa za watumiaji wa mitandao yao.
Je, ni lini walau kumewahi kuwepo hata kesi moja ya uchawara mitandao hio ikijaribu kulinda faragha ya wateja wake?