Teuzi ya Maxence Melo, ina maana gani kwa JF na wanachama wake?

OLS

JF-Expert Member
Oct 12, 2019
419
670
Maxence Melo, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums ameteuliwa kuwa mmjoa wa wajumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa muda wa miaka mitatu. Suala hili limezuia mijadala hata kwa wanachama wa JamiiForums wakidhani uhuru wao utakuwa umeminywa.

Unayopaswa kujua
Bodi inayoundwa ni kwa ajili ya kuisimamia Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Ulinzi wa taarifa binafsi, bodi ina majukumu haya,

9.-(1) Bodi itasimamia utendaji wa Tume ilikuhakikisha kuwa utendaji huo unazingatia sheria nataratibu zinazosimamia Tume.

(2) Bila kuathiri ujumla wa kifungu kidogo cha (1),Bodi itakuwa na wajibu wa-
(a) kutoa miongozo ya kimkakati na kuunda seraza uendeshaji na usimamizi wa Tume;​
(b) kusimamia shughuli na utendaji kazi wamenejimenti ya Tume;​
(c) kuhakikisha matumizi bora ya rasilimali,ikijumuisha kuidhinishwa kwa mpango kazi wamwaka, bajeti ya mwaka na bajeti ya nyongeza;​
(d) kuidhinisha mipango ya uwekezaji ya Tume;​
(e) kuidhinisha ripoti za utendaji kazi wa Tume;​
(f) kuidhinisha kanuni za maadili kwa watumishiwa Tume;​
(g) kuidhinisha na kusimamia taratibu zausimamizi wa fedha na kanuni za utumishi waTume;​
(h) kuidhinisha uondoshaji wa mali za Tume; na​
(i) kutekeleza wajibu mwingine wowote kwa kadriTume itakavyoona inafaa kwa ajili ya kutimizamalengo yake kwa mujibu wa Sheria hii.​

10. Bodi inaweza, kwa madhumuni ya kutekelezamajukumu yake kwa ufanisi, kuunda na kuteua kutokamiongoni mwa wajumbe wake, kamati zozote kadriitakavyoona inafaa.

Kutokana na majukumu hayo msingi ya Bodi, JamiiForums haitaathirika kwa teuzi hii bali itakuwa katika nafasi ya kuhakikisha yanayosemwa na wananchi yanafika kwenye tume ya ulinzi wa taarifa binafsi.

Aidha, Maxence Melo hajateuliwa kutokana na UCHAWA bali kutokana na mchango wake katika Ulinzi wa Taarifa binafsi. Mimi naona anaenda kuwa kama mwalimu kwa wengine ambao wapo lakini uelewa wao ni finyu kwenye masuala ya taarifa binafsi.

Aidha kwa sababu sio chawa, sidhani kama atashindwa kujiuzulu ikiwa atakutana na mambo ambayo hakubaliani nayo. Ikumbukwe mjumbe wa bodi anaruhusiwa kujiuzulu kwa kifungu cha 1(1)(3), kama ambavyo amekuwa akitetea suala la haki na faragha za watu, uteuzi huu hauko katika nafasi ya kumtoa katika kitu amesimamia miaka yote.

KWA WANA JF
Baada ya kujua kuwa Mkurugenzi ni Mjumbe wa Bodi, WanaJF wanakuwa na nafasi ya moja kwa moja ya kuishauri bodi kwa kuwa wakiweka mawazo yao hapa yana nafasi ya kuonekana na watu kuchukua hatua.

Maana yake ni kuwa, kama Maxence anaenda kushauri jambo anajua kutoka kwa wananchama anaweza kuthibitsha kwamba wananchi wanapitia hiki au kile. Hii maana yake wanachama wana nafasi kubwa ya kushiriki mchakato huu kwa uzuri.
 
Tatizo moja la middle class ni UOGA TU, wanafikiri kuwa Mr. Melo kuwemo kwenye bodi ile itamfanya anunulike kirahisi na kutoa informations kuhusiana na IDs za humu ndani! ninaweka kichwa changu kwenye chopping block ,Mr. Melo hawezi kufanya hili, welldone kwako Mr. Melo kwa uteuzi wako, your a great man
 
Maxence Melo, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums ameteuliwa kuwa mmjoa wa wajumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa muda wa miaka mitatu. Suala hili limezuia mijadala hata kwa wanachama wa JamiiForums wakidhani uhuru wao utakuwa umeminywa.

Unayopaswa kujua.
Bodi inayoundwa ni kwa ajili ya kuisimamia Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Ulinzi wa taarifa binafsi, bodi ina majukumu haya,

9.-(1) Bodi itasimamia utendaji wa Tume ilikuhakikisha kuwa utendaji huo unazingatia sheria nataratibu zinazosimamia Tume.
(2) Bila kuathiri ujumla wa kifungu kidogo cha (1),Bodi itakuwa na wajibu wa-
(a) kutoa miongozo ya kimkakati na kuunda seraza uendeshaji na usimamizi wa Tume;​
(b) kusimamia shughuli na utendaji kazi wamenejimenti ya Tume;​
(c) kuhakikisha matumizi bora ya rasilimali,ikijumuisha kuidhinishwa kwa mpango kazi wamwaka, bajeti ya mwaka na bajeti ya nyongeza;​
(d) kuidhinisha mipango ya uwekezaji ya Tume;​
(e) kuidhinisha ripoti za utendaji kazi wa Tume;​
(f) kuidhinisha kanuni za maadili kwa watumishiwa Tume;​
(g) kuidhinisha na kusimamia taratibu zausimamizi wa fedha na kanuni za utumishi waTume;​
(h) kuidhinisha uondoshaji wa mali za Tume; na​
(i) kutekeleza wajibu mwingine wowote kwa kadriTume itakavyoona inafaa kwa ajili ya kutimizamalengo yake kwa mujibu wa Sheria hii.​
10. Bodi inaweza, kwa madhumuni ya kutekelezamajukumu yake kwa ufanisi, kuunda na kuteua kutokamiongoni mwa wajumbe wake, kamati zozote kadriitakavyoona inafaa.

Kutokana na majukumu hayo msingi ya Bodi, JamiiForums haitaathirika kwa teuzi hii bali itakuwa katika nafasi ya kuhakikisha yanayosemwa na wananchi yanafika kwenye tume ya ulinzi wa taarifa binafsi

Aidha, Maxence Melo hajateuliwa kutokana na UCHAWA bali kutokana na mchango wake katika Ulinzi wa Taarifa binafsi. Mimi naona anaenda kuwa kama mwalimu kwa wengine ambao wapo ambao uelewa wao ni finyu kwenye masuala ya taarifa binafsi.

Aidha kwa sababu sio chawa, sidhani kama atashindwa kujiuzulu ikiwa atakutana na mambo ambayo hakubaliani nayo. Ikumbukwe mjumbe wa bodi anaruhusiwa kujiuzulu kwa kifungu cha 1(1)(3), kama ambavyo amekuwa akitetea suala la haki na faragha za watu, uteuzi huu hauko katika nafasi ya kumtoa katika kitu amesimamia miaka yote.

KWA WANA JF
Baada ya kujua kuwa mkurugenzi ni mjumbe wa bodi, WanaJF wanakuwa na nafasi ya moja kwa moja ya kuishauri bodi kwa kuwa wakiweka mawazo yao hapa yana nafasi ya kuonekana na watu kuchukua hatua. Maana yake ni kuwa, kama Maxence anaenda kushauri jambo anajua kutoka kwa wananchama anaweza kuthibitsha kwamba wananchi wanapitia hiki au kile. Hii maana yake wanachama wana nafasi kubwa ya kushiriki mchakato huu kwa uzuri.
mechi kali kariakoo dabi,,,,kocha wa yanga ndo refa wa mechi kati ya simba na yanga,,,unatemea nini?{hamna haja ya mjadala hapo!!!
 
Mfumo ni mfumo tuu...maxence melo mtani wangu na boss wangu hapa lazima akubali kuingia kwenye mfumo wa kidola. Hakuna atakachosaidia na ameshaingia kwenye mfumo. In short ameyatimba kiaina.
 
Tatizo moja la middle class ni UOGA TU,wanafikiri kuwa Mr.Meko kuwemo kwenye bod ile itamfanya anunulike kirahisi na kutoa informations kuhusiana na IDs za humu ndani!,ninaweka kichwa changu kwenye chopping block ,Mr.Meko hawezi kufanya hili, welldone kwako Mr.Meko kwa uteuzi wako, ur a great man
Sijui hata umeandika nini....
Jf ya 2015 kurudi nyuma sio JF ya 2015 kusonga mbele....hii inatokana na mfumo kupenyeza mods ndani ya hili jukwaa.
Mods wamechangia sana jf kukosa flavour kabisa....sembuse boss kaenda kitengo si ndo itageuka jukwaa la kampeni ya ccm ya tuvuke na mama 2025
 
Maxence Melo, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums ameteuliwa kuwa mmjoa wa wajumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa muda wa miaka mitatu. Suala hili limezuia mijadala hata kwa wanachama wa JamiiForums wakidhani uhuru wao utakuwa umeminywa.

Unayopaswa kujua.
Bodi inayoundwa ni kwa ajili ya kuisimamia Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Ulinzi wa taarifa binafsi, bodi ina majukumu haya,

9.-(1) Bodi itasimamia utendaji wa Tume ilikuhakikisha kuwa utendaji huo unazingatia sheria nataratibu zinazosimamia Tume.
(2) Bila kuathiri ujumla wa kifungu kidogo cha (1),Bodi itakuwa na wajibu wa-
(a) kutoa miongozo ya kimkakati na kuunda seraza uendeshaji na usimamizi wa Tume;​
(b) kusimamia shughuli na utendaji kazi wamenejimenti ya Tume;​
(c) kuhakikisha matumizi bora ya rasilimali,ikijumuisha kuidhinishwa kwa mpango kazi wamwaka, bajeti ya mwaka na bajeti ya nyongeza;​
(d) kuidhinisha mipango ya uwekezaji ya Tume;​
(e) kuidhinisha ripoti za utendaji kazi wa Tume;​
(f) kuidhinisha kanuni za maadili kwa watumishiwa Tume;​
(g) kuidhinisha na kusimamia taratibu zausimamizi wa fedha na kanuni za utumishi waTume;​
(h) kuidhinisha uondoshaji wa mali za Tume; na​
(i) kutekeleza wajibu mwingine wowote kwa kadriTume itakavyoona inafaa kwa ajili ya kutimizamalengo yake kwa mujibu wa Sheria hii.​
10. Bodi inaweza, kwa madhumuni ya kutekelezamajukumu yake kwa ufanisi, kuunda na kuteua kutokamiongoni mwa wajumbe wake, kamati zozote kadriitakavyoona inafaa.

Kutokana na majukumu hayo msingi ya Bodi, JamiiForums haitaathirika kwa teuzi hii bali itakuwa katika nafasi ya kuhakikisha yanayosemwa na wananchi yanafika kwenye tume ya ulinzi wa taarifa binafsi

Aidha, Maxence Melo hajateuliwa kutokana na UCHAWA bali kutokana na mchango wake katika Ulinzi wa Taarifa binafsi. Mimi naona anaenda kuwa kama mwalimu kwa wengine ambao wapo ambao uelewa wao ni finyu kwenye masuala ya taarifa binafsi.

Aidha kwa sababu sio chawa, sidhani kama atashindwa kujiuzulu ikiwa atakutana na mambo ambayo hakubaliani nayo. Ikumbukwe mjumbe wa bodi anaruhusiwa kujiuzulu kwa kifungu cha 1(1)(3), kama ambavyo amekuwa akitetea suala la haki na faragha za watu, uteuzi huu hauko katika nafasi ya kumtoa katika kitu amesimamia miaka yote.

KWA WANA JF
Baada ya kujua kuwa mkurugenzi ni mjumbe wa bodi, WanaJF wanakuwa na nafasi ya moja kwa moja ya kuishauri bodi kwa kuwa wakiweka mawazo yao hapa yana nafasi ya kuonekana na watu kuchukua hatua. Maana yake ni kuwa, kama Maxence anaenda kushauri jambo anajua kutoka kwa wananchama anaweza kuthibitsha kwamba wananchi wanapitia hiki au kile. Hii maana yake wanachama wana nafasi kubwa ya kushiriki mchakato huu kwa uzuri.
Una maana ya kummaliza smoothly.
 
Hiyo haya ya
Maxence Melo, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums ameteuliwa kuwa mmjoa wa wajumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa muda wa miaka mitatu. Suala hili limezuia mijadala hata kwa wanachama wa JamiiForums wakidhani uhuru wao utakuwa umeminywa.

Unayopaswa kujua.
Bodi inayoundwa ni kwa ajili ya kuisimamia Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Kwa mujibu wa Kifungu cha 9 cha Sheria ya Ulinzi wa taarifa binafsi, bodi ina majukumu haya,

9.-(1) Bodi itasimamia utendaji wa Tume ilikuhakikisha kuwa utendaji huo unazingatia sheria nataratibu zinazosimamia Tume.
(2) Bila kuathiri ujumla wa kifungu kidogo cha (1),Bodi itakuwa na wajibu wa-
(a) kutoa miongozo ya kimkakati na kuunda seraza uendeshaji na usimamizi wa Tume;​
(b) kusimamia shughuli na utendaji kazi wamenejimenti ya Tume;​
(c) kuhakikisha matumizi bora ya rasilimali,ikijumuisha kuidhinishwa kwa mpango kazi wamwaka, bajeti ya mwaka na bajeti ya nyongeza;​
(d) kuidhinisha mipango ya uwekezaji ya Tume;​
(e) kuidhinisha ripoti za utendaji kazi wa Tume;​
(f) kuidhinisha kanuni za maadili kwa watumishiwa Tume;​
(g) kuidhinisha na kusimamia taratibu zausimamizi wa fedha na kanuni za utumishi waTume;​
(h) kuidhinisha uondoshaji wa mali za Tume; na​
(i) kutekeleza wajibu mwingine wowote kwa kadriTume itakavyoona inafaa kwa ajili ya kutimizamalengo yake kwa mujibu wa Sheria hii.​
10. Bodi inaweza, kwa madhumuni ya kutekelezamajukumu yake kwa ufanisi, kuunda na kuteua kutokamiongoni mwa wajumbe wake, kamati zozote kadriitakavyoona inafaa.

Kutokana na majukumu hayo msingi ya Bodi, JamiiForums haitaathirika kwa teuzi hii bali itakuwa katika nafasi ya kuhakikisha yanayosemwa na wananchi yanafika kwenye tume ya ulinzi wa taarifa binafsi

Aidha, Maxence Melo hajateuliwa kutokana na UCHAWA bali kutokana na mchango wake katika Ulinzi wa Taarifa binafsi. Mimi naona anaenda kuwa kama mwalimu kwa wengine ambao wapo ambao uelewa wao ni finyu kwenye masuala ya taarifa binafsi.

Aidha kwa sababu sio chawa, sidhani kama atashindwa kujiuzulu ikiwa atakutana na mambo ambayo hakubaliani nayo. Ikumbukwe mjumbe wa bodi anaruhusiwa kujiuzulu kwa kifungu cha 1(1)(3), kama ambavyo amekuwa akitetea suala la haki na faragha za watu, uteuzi huu hauko katika nafasi ya kumtoa katika kitu amesimamia miaka yote.

KWA WANA JF
Baada ya kujua kuwa mkurugenzi ni mjumbe wa bodi, WanaJF wanakuwa na nafasi ya moja kwa moja ya kuishauri bodi kwa kuwa wakiweka mawazo yao hapa yana nafasi ya kuonekana na watu kuchukua hatua. Maana yake ni kuwa, kama Maxence anaenda kushauri jambo anajua kutoka kwa wananchama anaweza kuthibitsha kwamba wananchi wanapitia hiki au kile. Hii maana yake wanachama wana nafasi kubwa ya kushiriki mchakato huu kwa uzuri.
Hiyo haya ya mwisho ni UREMBO sehemu yenye URIMBO.
 
mlitakaa abakii jf pekeyakee wengine wana nyota zao jf kama kianzio tu
Nawakilisha
hongera boss max
 
kama msafi hutakiwi kuogopa hata akiteuliwa waziri..laa maana uwe mwadilifu jf hatawakiitaji info zako unawapa nakuuwauliza tukutane wapi
(Siokwangulakini)
 
Sijui hata umeandika nini....
Jf ya 2015 kurudi nyuma sio JF ya 2015 kusonga mbele....hii inatokana na mfumo kupenyeza mods ndani ya hili jukwaa.
Mods wamechangia sana jf kukosa flavour kabisa....sembuse boss kaenda kitengo si ndo itageuka jukwaa la kampeni ya ccm ya tuvuke na mama 2025
Acha uoga wewe, kama kitu hakikuridhishi push back,au toka kwenye JF, naona unaogopa kivuli chako na elewa Mr.Meko alishawahi kupelekwa mahakamani kwa ajili ya kulinda wana JF!!relax na ur safe for now
 
Viongozi wengi wa kisiasa,sametime wanaonekanaga wa hovyo hovyo,kwa uchawa wao.
Elimu unakuta anayo,ila kaangalie performance yake 😠😠.
Jamaa Yuko vizuri Sana,ila wasidhani kuwa kumweka karibu ndo atafunua pazia dirishani members tuonekane kulee😅😅😅.
Wajifunze,maisha tunapita tu.
 
Acha uoga wewe, kama kitu hakikuridhishi push back,au toka kwenye JF, naona unaogopa kivuli chako na elewa Mr.Meko alishawahi kupelekwa mahakamani kwa ajili ya kulinda wana JF!!relax na ur safe for now
Eti nitoke JF!!!!
You must be an idiot bila shaka unadhani hayo yote ya mahakamani siyajui....
JF kwa sasa ni mali ya umma so lazima tuhoji japo uteuzi ni jambo la heri.
Siku zote serikali ikikuweka mfukoni lazima uanze kuimba na kusifu tu tofauti na enzi za mahakamani.
 
Back
Top Bottom