Maxence Melo: Uvujishaji wa Taarifa uko zaidi Nje ya Mitandao, kwa mfano Makaratasi ya Matokeo ya Mitihani Kufungia Maandazi na Chapati Mitaani!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,980
maxresdefault.jpg


Maxence Melo Mkurugenzi wa Jamii Forums amesema Uvujishaji wa Taarifa uko zaidi Nje ya Mitandao kwa mfano Makaratasi ya Matokeo ya Mitihani Kufungia Maandazi na Chapati.

Mungu wa Mbinguni Ibariki JF 😂
---
Maxence Melo, Mkurugenzi wa Jamii Forum: Uhuru huu wa mitandao ambao tunaupima sasa hivi ndiyo ulioleta uwajibikaji, ambao unaonekana lakini umekuja kwa baadhi ya watu kutoka jasho wengine damu.

Mitandao ya kijamii na digitali kwa ujumla wake imetoka mbali imepitia milima, mabonde, kona kadhaa tumezikata, tumefanya vyema lakini tulipofika mitandao ina nguvu.

Kwa mfano kunguni waliokuwapo Chuo Kikuu cha Dodoma ingekuwa mwandishi ameenda ahoji, stori ingeishia palepale lakini ilivyotolewa mitandaoni hatua zikachukuliwa.

Kama mnakumbuka Azory Gwanda ambaye hadi sasa hatujui aliko ingawa kuna mtu aliyewahi kuwa waziri aliwahi kusema aliuwawa, pia kuna mwanahabari aliuwawa na Askari Polisi na aliyekuwa Kamanda wa Polisi Iringa alisema waliofanya hivyo ni wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ndiyo walimuua kwa kitu chenye ncha kali.

Bahati nzuri, picha ya tukio zima ilipigwa na kupandishwa Jamii Forum kupitia mtu wetu tunayemuamini aliyehakikisha kuwa alikuwa eneo la tukio, ilisaidia hatua zichukuliwe lakini upotoshaji ulikuwa umeshaanza na kwa sababu yeye ndiye mwenye mamlaka waandishi wengine wangelazimika kuandika kuwa wafuasi wa Chadema wamemuua mwandishi wa habari kwa kitu cha ncha kali.

Mitandao ya kijamii inatoa taarifa ila isipowalinda watoa taarifa hii inaweza kuwa nafasi hatarishi kwa wananchi pia inaweza kuwaumiza wengine.

Source: Mwananchi
 
Habarini Wakuu!
Wengi wanaweza kuona ni kama mzaha fulani ila hili ni tatizo kiukweli, watu hawana misingi wala uelewa kuhusu masuala ya Kanuni Za Ukusanyaji Na Uchakataji wa Taarifa Binafsi.
Sio siri ukienda Kigamboni tu pale karibia na Chuo cha Mwalimu Nyerere, utashangaa kuona wauzaji wa vimbazi (Chips) wakitumia bahasha ambazo zimetengenezwa na karatasi za wanafunzi kwa maana ya tests zao lakini mbali zaidi hata nyaraka za serikali, ni rahisi kukutana na baru za wajumbe pamoja na barua za utambulisho kutoka sehemu mbalimbali.

Makampuni kadhaa haswa binafsi yamekuwa ni wahanga wakubwa kwani hata seheu zingine wanatumia karatasi za ofisi hizo kutengeneza bahasha.
Tulitazame kwa uangalifu kwa sababu ipo siku utakutana na karatasi ya majibu yako ya vipimo vya kansa ama Ukimwi na sijui utaanzia wapi kuzungumza.
 
Sasa hivi Maxence Mello na JamiiForums yako hamko huru!
Na nyinyi kwa sasa mko na upande na ndio maana mnazifuta thread zinazoanzishwa zikiwahusu wale waliowaweka kwenye Payroll yao!

Marope na Nepi wamewafunga midomo.Jamiiforums ya leo sio ile tuliyoanza nayo.
Ushahidi ni jinsi ambavyo mtandao X unavyozidi kupasua anga huku JamiiForums ikizidi kuzorota.

Kuna watu siku hizi tumo humu kusoma pekee maana ni upumbavu kuendelea na taasisi isiyoheshimu members wake!
JamiiForums kwa sasa ni kijiwe cha wenye kisu kikali.na hata Maxence Mello na huyu Patner wako Mangi mnalijua hilo.
 
View attachment 2841927

Maxence Melo Mkurugenzi wa Jamii Forums amesema Uvujishaji wa Taarifa uko zaidi Nje ya Mitandao kwa mfano Makaratasi ya Matokeo ya Mitihani Kufungia Maandazi na Chapati.

Mungu wa Mbinguni Ibariki JF 😂
---
Maxence Melo, Mkurugenzi wa Jamii Forum: Uhuru huu wa mitandao ambao tunaupima sasa hivi ndiyo ulioleta uwajibikaji, ambao unaonekana lakini umekuja kwa baadhi ya watu kutoka jasho wengine damu.

Mitandao ya kijamii na digitali kwa ujumla wake imetoka mbali imepitia milima, mabonde, kona kadhaa tumezikata, tumefanya vyema lakini tulipofika mitandao ina nguvu.

Kwa mfano kunguni waliokuwapo Chuo Kikuu cha Dodoma ingekuwa mwandishi ameenda ahoji, stori ingeishia palepale lakini ilivyotolewa mitandaoni hatua zikachukuliwa.

Kama mnakumbuka Azory Gwanda ambaye hadi sasa hatujui aliko ingawa kuna mtu aliyewahi kuwa waziri aliwahi kusema aliuwawa, pia kuna mwanahabari aliuwawa na Askari Polisi na aliyekuwa Kamanda wa Polisi Iringa alisema waliofanya hivyo ni wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ndiyo walimuua kwa kitu chenye ncha kali.

Bahati nzuri, picha ya tukio zima ilipigwa na kupandishwa Jamii Forum kupitia mtu wetu tunayemuamini aliyehakikisha kuwa alikuwa eneo la tukio, ilisaidia hatua zichukuliwe lakini upotoshaji ulikuwa umeshaanza na kwa sababu yeye ndiye mwenye mamlaka waandishi wengine wangelazimika kuandika kuwa wafuasi wa Chadema wamemuua mwandishi wa habari kwa kitu cha ncha kali.

Mitandao ya kijamii inatoa taarifa ila isipowalinda watoa taarifa hii inaweza kuwa nafasi hatarishi kwa wananchi pia inaweza kuwaumiza wengine.

Source: Mwananchi
Nchi ingekuwa serious huyu jamaa ndiyo angekuwa DG wa TCRA maanake yupo field muda mrefu + ubunifu
 
Sasa hivi Maxence Mello na JamiiForums yako hamko huru!
Na nyinyi kwa sasa mko na upande na ndio maana mnazifuta thread zinazoanzishwa zikiwahusu wale waliowaweka kwenye Payroll yao!

Marope na Nepi wamewafunga midomo.Jamiiforums ya leo sio ile tuliyoanza nayo.
Ushahidi ni jinsi ambavyo mtandao X unavyozidi kupasua anga huku JamiiForums ikizidi kuzorota.

Kuna watu siku hizi tumo humu kusoma pekee maana ni upumbavu kuendelea na taasisi isiyoheshimu members wake!
JamiiForums kwa sasa ni kijiwe cha wenye kisu kikali.na hata Maxence Mello na huyu Patner wako Mangi mnalijua hilo.
Kwanini usianzishe wa kwako? wenzako wanakamatwa wewe unafanya mapenzi na mkeo. Fuata taratibu zao hakuna shida wapo fair sn
 
Habarini Wakuu!
Wengi wanaweza kuona ni kama mzaha fulani ila hili ni tatizo kiukweli, watu hawana misingi wala uelewa kuhusu masuala ya Kanuni Za Ukusanyaji Na Uchakataji wa Taarifa Binafsi.
Sio siri ukienda Kigamboni tu pale karibia na Chuo cha Mwalimu Nyerere, utashangaa kuona wauzaji wa vimbazi (Chips) wakitumia bahasha ambazo zimetengenezwa na karatasi za wanafunzi kwa maana ya tests zao lakini mbali zaidi hata nyaraka za serikali, ni rahisi kukutana na baru za wajumbe pamoja na barua za utambulisho kutoka sehemu mbalimbali.

Makampuni kadhaa haswa binafsi yamekuwa ni wahanga wakubwa kwani hata seheu zingine wanatumia karatasi za ofisi hizo kutengeneza bahasha.
Tulitazame kwa uangalifu kwa sababu ipo siku utakutana na karatasi ya majibu yako ya vipimo vya kansa ama Ukimwi na sijui utaanzia wapi kuzungumza.
Muhimu kama nchi tutoke kwenye manual tutuemie e-system
 
u
Nchi ingekuwa serious huyu jamaa ndiyo angekuwa DG wa TCRA maanake yupo field muda mrefu + ubunifu
Acha kuchanganyan madesa bwana mdogo, huyo mi mfanyabiashara TCRA ndio inamdhibiti, Ina maana Abood au Shabiby ndio moja wao angetakiwa kuwa waziri wa Uchukuzi? Mbona mna akili ndogo kiasi hicho? Tatizo nini, udumavu wa lishe? Uwezo wa kufikiri (reasoning) wa vijana wengi uko chini sana
 
u

Acha kuchanganyan madesa bwana mdogo, huyo mi mfanyabiashara TCRA ndio inamdhibiti, Ina maana Abood au Shabiby ndio moja wao angetakiwa kuwa waziri wa Uchukuzi? Mbona mna akili ndogo kiasi hicho? Tatizo nini, udumavu wa lishe? Uwezo wa kufikiri (reasoning) wa vijana wengi uko chini sana
Upo sahihi kabisa, kwanini akina MO, GSM na wengine kampuni zao zinafanya vizuri na kampuni za umma pamoja na kupewa ruzuku lakini zinakufa ni hasara tupu? e.g TRC, TTCL, TANESCO, Posta, ATC n.k? huwezi kusikia Precision Air wamepata hasara lakini kampuni za umma pamoja na kupewa ruzuku ni hasara tupu why? Uzoefu, commitment, passion na ubunifu.
 
u

Acha kuchanganyan madesa bwana mdogo, huyo mi mfanyabiashara TCRA ndio inamdhibiti, Ina maana Abood au Shabiby ndio moja wao angetakiwa kuwa waziri wa Uchukuzi? Mbona mna akili ndogo kiasi hicho? Tatizo nini, udumavu wa lishe? Uwezo wa kufikiri (reasoning) wa vijana wengi uko chini sana
😂😂
 
Back
Top Bottom