PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,202
- 8,783
Angel Msoffe, Umelipua Whitehouse!(1)Wamejidhihirisha wao ni genge la wezi watupu, (2) wamejidhihirisha kuwa hawana uwezo wa kuwajibishana mpaka wapigwe mkwara na wapinzani (wanalindana) (3) wameipa chadema umaarufu mara 90
Binafsi nina mashaka sana na hatua hizi zinazofanyika kwa kilemba cha kuinusuru ccm, na wala si kutetea wananchi wanaoibiwa rasilimali zao.
Last edited by a moderator: