Absolute
JF-Expert Member
- Jan 19, 2007
- 333
- 62
Kama ile wizara ya Nundu iunganishwe na ya Magufuri uone mziki wake
Hahahaha 🙂
Kama ile wizara ya Nundu iunganishwe na ya Magufuri uone mziki wake
january makamba apewe nishati na madini bcoz jamaa anamachungu na gharama kubwa za umeme.
Baada ya kujiuzulu, washitakiwe kwa kutumia madaraka yao vibaya na kuliingizia taifa hasara, na ikiwezekana wafungwe kwa muda mrefu sana gerezani. Kujiuzulu tu halafu wakaenda kutumbua mali waliyotuibia hakutoshi; ningetegemea watoa hoja waongeze kipengele hicho kwenye hoja hiyo.
Raisi naye awajibishwe kwa kushindwa kuwasimamia watu aliowapa madaraka hadi wakaliingizia taifa hasara kubwa kiwango hicho; naye ashitakiwe (ingawa najua sheria hiyo haipo).
Hii haitoshi wapelekwa mahakani, washitakiwe na mali walizo chota zirudishwe serikalini na pia naona hata Pinda awafuate manake wakati wanachota pesa alikuwa anawaona, na yeye awafuate ili iwe fundisho kwa hawa watakao baki.
Sasa ni wakati muafaka kwa JK kuunda baraza dogo la mawaziri atakalolimudu!
Waziri anaweza kuomba kujiuzulu lakini Rais ndio mwenye mamlaka ya kukubali au kukataa, hakuna yeyote anaeweza ku "confirm" hilo, msidanganye watu.