Jk akirudi atapinga kujiuzulu kwao kwenye kikao cha wazee wa Dar es salaam na kuwalaani walioanzisha chokochoko. Bonge la presid! Saa hizi anapanga ratiba ya mazishi kule Malawi na anaandaa b/fast na MaximoSiamini, mpaka watangazwe mawaziri wapya kushika nafasi zao
Hizo taharifa umesikia au hisia zako...?!
Chanzo tafadhari...
mnyisanzu kulonga Mbeka??(Unasema kweli?) Nafikiri sasa somo la uwajibikaji linaanza kueleweka. Japo safari hii wamelazimishwa kuwajibika, next time mtu akiharibu atawajibika kwa hiyari...Confirmed. Waliojiuzulu ni Mkullo, Mponda,Nundu na Chami.
Mkulo harudi bongo, kama Balali kabisaConfirmed. Waliojiuzulu ni Mkullo, Mponda,Nundu na Chami.
bora na asilale kabisa anatakiwa akeshe- Bado Wabunge wa CCM wapo kwenye kikao chao, wakitoka tutakwua na full info, sos tay tuned na the datas ni kwamba Rais anatoka Brazil na kwenda Dodoma moja kwa moja, leo atalala Dodoma.
ES!
Tia pingu, Segerea, basi!Kuna taarifa ambazo hazijathibitishwa kuwa leo Mawaziri wanne wa CCM wamejiuzulu kwenye kikao cha kamati ya uongozi ya CCM kilichofanyika na hata katibu mkuu kiongozi alishiriki na sasa ndio wanaenda kuwatangazia wabunge wa CCM kwenye kikao cha ndani.
CONFRIMED!!!!!!! BY BLACK BAT......kutoka DODOMA.
hutaki jinyonge
Kujiuzulu haitoshi washtakiwe