Mbuki Feleshi
Senior Member
- Jan 24, 2011
- 155
- 29
heheheh.....mzee wa AK 47!:A S shade:
Huyu tumganyeje? Ndo kafanya madudu mengi mpaka sasa kati ya waliowasirisha barua ye hayumo
hii post yako inaelea tu.
Huyu anakatafuna ka-TASAF tu sasa hivi.
Afate nyayo za wenzake walioamua kuwajibika kwa maslahi ya umma.
Salaam Wana JF. Mimi sidhani kama kujiuzulu pekee kunatosha, nafikiri hatua zaidi zichukuliwe ili iwe mfano. wasemaje?
Huyu tumganyeje? Ndo kafanya madudu mengi mpaka sasa kati ya waliowasirisha barua ye hayumo