Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

CCM bado inapendwa na inahitajiwa sana na watz..na mpaka sasa hamna chama mbdala au chenye nguvu kama CCM. Vyama vyetu vya upinzani ni waganga njaa tu.

Watanzania mafala na malofa wamebaki wachache sana.
 
Kujiuzulu? Ili waendelee kufaidi kodi za maskini?
HOJA HAPA NI KWA NINI WASINGEFUKUZWA MAPEMA?
 
Hiyo list ya wanaotajwa kujiuzulu haitoshi bado kuna mawaziri pamoja na watendaji wa sekta mbalimbali ambao utendaji wao hau ridhishi hata kidogo! Pia kitendo cha wao kujiuzulu tu bila sheria kuwawajibisha huo utakuwa ni udhaifu mwingine. :rolleyez:
 
Hongereni wana JF....hawa jamaa wakiondoka itakuwa ni ushindi mkubwa kwa JF.....if y'all know what i mean........
 
CCM bado inapendwa na inahitajiwa sana na watz..na mpaka sasa hamna chama mbdala au chenye nguvu kama CCM. Vyama vyetu vya upinzani ni waganga njaa tu.

Hio ni fikra ya kiwendawazimu maneno hayo kamwambie mkeo.
M4C Peeeeeeeeeeeepooooooooooooz
 
Sasa kama waziri saba wakistep down Pm anabaki kufanya nini?kifupi cabinent nzima imeproof failure hata kama hajatwa kwenye ripoti ya cag.Kama hawa wafuatao:



1. Wassira,
2. Nagu
3. Magembe
4. lukuvi
5. Kawambwa
Ongeza wengi.
Mytake:kuendelea na hii cabinet ni kama kuweka kiraka cheupe kwenye suruali nyeupe.

Kiraka cheupe kwenye suruali Nyeusi?
 
CCM bado inapendwa na inahitajiwa sana na watz..na mpaka sasa hamna chama mbdala au chenye nguvu kama CCM. Vyama vyetu vya upinzani ni waganga njaa tu.

Wewe una akili za maiti!,kama ni waganga njaa mbona arumeru mash.Mliachia kitu kikazama?,ur out of point.Cdm ndo mpango mzma magamba kwisha habari yenu.Majambazi na mafisadi makubwa nyie hauna hata aibu!,ccm haisameheki wala kukubalika hapa tz mnaoikubali ni watu mataahira kama wewe na akina ritz.
 
Hv jaman mtu unakaa na wahalifu ndani mpaka wanakuja kutolewa kwa mikiki mikiki siyo fedhea hiyo kwa mwenye nafsi mbichi! NINGE ACHIA NGAZI KAMA NINGEKUA MIMI PM, ALAFU MM KAMA RAIS SIJUI NINGEWAAMBIA NINI WANANCHI KUWAPA MAWAZIRI WATATA NA MAPONGO. AAAAHHG NIMEKUMBUKA NITACHEKA CHEKA TU KUZUGA ZUGA tEH tEH tEH
 
I approve wajiuzulu wote serikali imezidi kulala nchi inayumba
 
Inatakiwa wote wajiuzulu ila wenzetu walivyo na mishipa ya uchu wa madaraka. Ila napenda wafungwe na kutaifisha mali zao
 
Salaam Wana JF. Mimi sidhani kama kujiuzulu pekee kunatosha, nafikiri hatua zaidi zichukuliwe ili iwe mfano. wasemaje?
 
Tunataka hatua zaidi sasa zichukuliwe mara moja dhidi ya vigogo waliolisababishia taifa hili tukufu eti kwa kuwa serikali haina meno.DR SLAA huwa anausemi usemao'paka mzuri au mbwa mzuri ni mwenye uwezo wa kung'ata adui panya au mwizi' kwa maana hiyo tunataka yasijirudie ya kina Msabaha,Karamagi,Lowasa,Chenge,Rostam,Dalali,urejeshaji wa pesa ya epa bila kuwajua wahusika nk. MAWAZO YANGU. Naonba kuwasilisha
 
Tumeshuhudia mawaziri wakijiuzulu mwaka 2008 lakini makatibu wa wizara,wakurugenzi na watendaji wengine waliohusika ktk kuisababishia serikali hasara wao waliendelea na kazi bila kuchukuliwa hatua yoyote na hata mawaziri hao vilevile waliendelea tu kuwa huru bila kushtakiwa.
Leo hii (2012) vilevile tunashuhudia mawaziri wakijiuzulu nyadhifa zao kutokana na ubadhirifu wa fedha za serikali katika wizara zao.Sote tunafahamu kabisa kuwa ubadhirifu huu unawahusisha watendaji katika wizara husika.

Je,inatosha tu kwa mawaziri hawa kujiuzulu wakati hao wapya watakaoteuliwa watakuja kufanya kazi na walewale watendaji walioisababishia serikali hasara ktk wizara zao?

Kwangu mimi,ninaomba wabunge wetu waende mbali zaidi kwa kuishinikiza serikali kuwasimamisha kazi watendaji wote waliohusika ktk wizara zao ili hata hao mawaziri wapya watakaoteuliwa wafanye kazi na watendaji tofauti otherwise tutakuwa hatujafanikiwa kupunguza/kuondoa matatizo ktk wizara/halmashauri/taasisi zetu.
 
HATIMAYE mawaziri saba kati ya nane wakiwemo wanaokabiliwa na tuhuma za ubadhirifu, wamekubali kuandika barua za kujiuzulu wenyewe kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kukinusuru Chama cha Mapinduzi (CCM).


Habari za kuaminika kutoka mjini Dodoma zimesema kuwa mawaziri hao, walilazimishwa kujiuzulu katika kikao cha dharura kilichokuwa chini ya uenyekiti wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kilichofanyika mara tu baada ya kumalizika kwa kikao cha Bunge.


Taarifa zimewataja waliokubali kujiuzulu kuwa ni pamoja na Waziri wa Viwanda na Biashara, Cyril Chami;

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Mkuchika;

Waziri wa Uchukuzi Omari Nundu; na Waziri wa Afya, Dk. Haji Mponda.


Wengine wanaodaiwa kujiuzulu ni:

Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja;

Naibu Waziri wa Afya, Lucy Nkya;

na Naibu Waziri wa Viwanda, Lazaro Nyarandu.

Hata hivyo, Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo, ambaye alishambuliwa vikali kwa kuitwa kinara wa ufujaji, hakuwepo katika kikao hicho kwa madai kuwa yuko nje ya nchi, anasubiriwa aungane na wenzake kuachia ngazi.


FULL STORY>>>>>>>>>>

tunataka wafanyakazi bora!
 
Moto unaendelea kuwaka, magamba yote ni lazima yapukutike.
 
Walioshiriki kushinikiza kumvua ubunge mhe.Lema watang`oka wote,tuvute subira hawawezi kufanya uhuni wa kiasi kikubwa hivyo kudharau wananchi wengi kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom