Mawaziri enzi za hayati Mkapa, enzi za Kikwete walikuwa wakiongea wanasikilizwa na kuheshimiwa. Walikuwa na kishindo cha kimamlaka.
Lakini alipoingia mtawala wa awamu ya tano Mawaziri wakapoteza hadhi na heshima zao Ikawa ni kawa ni kawaida kusikia waziri katukanwa "pumbavu" hadharani. Ikawa ni kawaida maamuzi ya waziri yakipanguliwa hadharani.
Naiona hii hali ya kupoteza hadhi na heshima ikienelea hadi sasa awamu ya sita.
Mawaziri awamu ya hizi mbili wamepewa madaraka lkn wamenyimwa mamalaka.
Lakini alipoingia mtawala wa awamu ya tano Mawaziri wakapoteza hadhi na heshima zao Ikawa ni kawa ni kawaida kusikia waziri katukanwa "pumbavu" hadharani. Ikawa ni kawaida maamuzi ya waziri yakipanguliwa hadharani.
Naiona hii hali ya kupoteza hadhi na heshima ikienelea hadi sasa awamu ya sita.
Mawaziri awamu ya hizi mbili wamepewa madaraka lkn wamenyimwa mamalaka.