Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Hapo toa nyeupe na cream ambayo siku moja moja beach sio mbaya lakini njano,nyekundu,zambarau na pink hazifai sio kwa suruali tu hata shati.
Sitoi....:grouphug:
Hapo toa nyeupe na cream ambayo siku moja moja beach sio mbaya lakini njano,nyekundu,zambarau na pink hazifai sio kwa suruali tu hata shati.
naweza kubali if its linen na mwanaume mwenyewe ajue namna ya kuivalia
nina tatizo na wanaume wanaovaa suruali za rangi kama kijani,njano,cream,nyekundu,zambarau au nyeupe.....rangi ya suruali ya kiume iwe khaki,dark bluu,nyeusi,kijivu...... rangi nyingine ni so feminine!!!
Fanya haraka mie nataka kuleta mshenga bana! mpaka sasa kikwazo cha ndoa yetu ni hiki tu, adhawaizi mtoto umetulia kuliko festiledi wa sri lanka. aaakh jamani nakufa mie!sawa Kloro wa mujini....nitahama!
Khaaaaa!Sitoi....:grouphug:
Jamani Michelle tulikuwa tunaelewana sana muda flani siku hizi mhh! naomba unisamehe kama nilikukosea/kukukwaza kwa njia yoyote ile nahitaji urafiki wako sana.Sitoi....:grouphug:
Nyanizzo hatuongelei za ndani ba
We kama vipi mpeleke sehemu siku moja akipendezeshwa na ukamsifia kama ni mwelewa atapata tu ujumbe!!sasa mnataka tuwaapproach na camcorder?, hivi mdada unamwambia simple marangi yako rekebisha au tafuta make up consultant, yeye anaamua kununa na ili kuonesha msisitizo wa kununa anagoma hata kufua makufuli yake. khaaa! tutauwana jamani!
Jamani Michelle tulikuwa tunaelewana sana muda flani siku hizi mhh! naomba unisamehe kama nilikukosea/kukukwaza kwa njia yoyote ile nahitaji urafiki wako sana.
Dearest Lizzy naomba unisaidie na hili pia....thank you in advance.:A S-rose:Leather or lace?
Neither....
naweza kubali if its linen na mwanaume mwenyewe ajue namna ya kuivalia
asante dearest.....wananipa taabu hata kama hawanihusu.... yaani unakutana na mtu kitu cha kwanza unawaza ku change wardrobe yake....lol
NB: ningefurahi ungemjibu NN swali aliloniuliza,manake mimi nimeongelea suruali ye anauliza briefs or boxers? sijamuelewa.
We kama vipi mpeleke sehemu siku moja akipendezeshwa na ukamsifia kama ni mwelewa atapata tu ujumbe!!
Jamani Michelle tulikuwa tunaelewana sana muda flani siku hizi mhh! naomba unisamehe kama nilikukosea/kukukwaza kwa njia yoyote ile nahitaji urafiki wako sana.
Ila shati la pink iliyopauka kwa mwanaume inapendeza!!