honestly,hilo hua ni swali gumu kweli kwangu kupita yote!
kuhusu kuvaa sijui,vaa vyovyote ila usiwe nusu uchi huku tunaenda sehem za heshima
kama kwa wazazi vile!
Kinacho niboa zaidi ni kupaka madude mengiiiiii mdomoni sijui yanaitwaje
yale kama mafuta hivi,ops,tena mekundu mmh
mim sipendi nikiona mbaba kavaa suruale imejikusanyia pale katikati halafu huku kwa chini inakua fupi,wengine wanakumbuka kila mara anaivuta kwa chin mwengine,anaiacha inazidi kujizongorota kadri anavyotembea,ila bora hiyo sbb nadhan inasababishwa na unene,wanaonishefua ni wanaovaa kata k mboxer wote nje aaaagh nataman kuwalamba viboko.
Naomba utafute picha bila chozi hamna kitu kinacho nigusa kama chozi la kike nahisi vibaya sana.Hehe bado naendelea, wala hujanikwanza... Sasa ndo vitu sipend
Kwa wadada
Sipendi tena sipend kabisa
Kumuona msichana/mama amevaa nguo bila bra, kifua kimehamia tumboni ahaa sipend mie
Khaaa! kumbe kuna ajenda ya siri? :tape:
honestly,hilo hua ni swali gumu kweli kwangu kupita yote!
kuhusu kuvaa sijui,vaa vyovyote ila usiwe nusu uchi huku tunaenda sehem za heshima
kama kwa wazazi vile!
Kinacho niboa zaidi ni kupaka madude mengiiiiii mdomoni sijui yanaitwaje
yale kama mafuta hivi,ops,tena mekundu mmh
Ooops! sorry dearest what was the subject again lol!Stick to the subject will ya......!
Hahhaha...partner we acha tu!!
Me missed you too....busy day ehhh!?
Powwwle!!
Yeahhh ngoja niwasome kabla sijaanza kujipitisha pitisha hapa JF na kawigi kangu na tights!
Speaker tatizo linakua lipgloss au rangi anayotumia mhusika haimpendezi?!Maana kama tatizo sio rangi sidhani kama kuna ubaya wowote...unless mnataka lips zetu zipaukiane tu!
mambo,haujatimiza ahadi bibie.
I have no problem with lipstick,eye shadow or make-up as long as it's not too excessive or wrong colour meaning haiendani na rangi ya mhusika.Mavazi nayoyapenda mimi bubble dress,mini skirts and hotpants tukitoka usiku mchana chochote akipendacho yeye lakini kiendane na mwili wake nyumbani avae kaptura loose bila chupi na vest.Speaker tatizo linakua lipgloss au rangi anayotumia mhusika haimpendezi?!Maana kama tatizo sio rangi sidhani kama kuna ubaya wowote...unless mnataka lips zetu zipaukiane tu!
Kamanda kwa fantasiez bana! Yule mchumbaako si anapiga mafuta ya nazi wewe?I have no problem with lipstick,eye shadow or make-up as long as it's not too excessive or wrong colour meaning haiendani na rangi ya mhusika.Mavazi nayoyapenda mimi bubble dress,mini skirts and hotpants tukitoka usiku mchana chochote akipendacho yeye lakini kiendane na mwili wake nyumbani avae kaptura loose bila chupi na vest.
Kama unavaa wigi usiniPM tena!Powwwle!!
Yeahhh ngoja niwasome kabla sijaanza kujipitisha pitisha hapa JF na kawigi kangu na tights!
no rangi nyekundu sipendi,tatizo ni pale mtu unapo paka kamaSpeaker tatizo linakua lipgloss au rangi anayotumia mhusika haimpendezi?!Maana kama tatizo sio rangi sidhani kama kuna ubaya wowote...unless mnataka lips zetu zipaukiane tu!