The reason why? ........I don't know!! .....could be because machangu wengi ktk mji ninaokaa ndio style yao
Mhh Lizzy mi nasema inayowahusu hao guys
Mi sipendi wanaume wanaivaa suruali halafu hawavai au kuhifadh maungo vizuri. Yan unakuta mtu hapo mbele panaonekana pacheza cheza tena hapo mtu kavaa sut. Yan pamelegeaaaaaaa
Nisamehen km nimeleta yasiohusika!!!
Hhahahhhah...usijali mwaya tuwakosoe hapa hapa ili nao wajue!!Hao ambao kengele haitulii watakua wale wasiovaa nguo ya ndani!!Suruali haswa ikiwa ya kitambaa inabidi mtu ajihifadhi vizuri huko ndani!
mim sipendi nikiona mbaba kavaa suruale imejikusanyia pale katikati halafu huku kwa chini inakua fupi,wengine wanakumbuka kila mara anaivuta kwa chin mwengine,anaiacha inazidi kujizongorota kadri anavyotembea,ila bora hiyo sbb nadhan inasababishwa na unene,wanaonishefua ni wanaovaa kata k mboxer wote nje aaaagh nataman kuwalamba viboko.
Kama kuna uwezekano waifu avae night dress tu hata tukienda sokoni. Ile kitu inanipa mzuka balaa, Kesi yangu ya kubaka ilikuwa kwa mdada kavaa night dress kwenye mkutano wa Chadema. nilishinda kesi
Kama kuna uwezekano waifu avae night dress tu hata tukienda sokoni. Ile kitu inanipa mzuka balaa, Kesi yangu ya kubaka ilikuwa kwa mdada kavaa night dress kwenye mkutano wa Chadema. nilishinda kesi
Uda'a samahani kama nitakukwaza lakini mbona akili na macho yako hayabanduki sehemu hiyo ? inawezekana tatizo liko kwako.Mhh Lizzy mi nasema inayowahusu hao guys
Mi sipendi wanaume wanaivaa suruali halafu hawavai au kuhifadh maungo vizuri. Yan unakuta mtu hapo mbele panaonekana pacheza cheza tena hapo mtu kavaa sut. Yan pamelegeaaaaaaa
Nisamehen km nimeleta yasiohusika!!!
Kuna wale wanaume wanajikuna/kushika shika maeneo kila wakat hata mbele za watu pia sipend.
mambo,haujatimiza ahadi bibie.mim sipendi nikiona mbaba kavaa suruale imejikusanyia pale katikati halafu huku kwa chini inakua fupi,wengine wanakumbuka kila mara anaivuta kwa chin mwengine,anaiacha inazidi kujizongorota kadri anavyotembea,ila bora hiyo sbb nadhan inasababishwa na unene,wanaonishefua ni wanaovaa kata k mboxer wote nje aaaagh nataman kuwalamba viboko.
Uda'a samahani kama nitakukwaza lakini mbona akili na macho yako hayabanduki sehemu hiyo ? inawezekana tatizo liko kwako.
Nyumbani avae nguo zake za kuzaliwa
"grandma underwear"
we used to call that shit "mother"s union" in those days of form 2.,.umenikumbusha
Uda'a samahani kama nitakukwaza lakini mbona akili na macho yako hayabanduki sehemu hiyo ? inawezekana tatizo liko kwako.
Mdada kakomaa na sehemu tu . . . .
Mhh Lizzy mi nasema inayowahusu hao guys
Mi sipendi wanaume wanaivaa suruali halafu hawavai au kuhifadh maungo vizuri. Yan unakuta mtu hapo mbele panaonekana pacheza cheza tena hapo mtu kavaa sut. Yan pamelegeaaaaaaa
Nisamehen km nimeleta yasiohusika!!!
Guys baada ya kutujulisha kwa kiasi gani msivyopenda tunavyozika nywele zetu ndani ya mawigi na weavings nimeona niulize kuhusu upande wa mavazi...!Maana hua hamuishi kulalamika sijui tunajiachia sana...wengine hawajali stlye kwao ilimradi kuvaa tu!
Je wewe unapenda mke/mchumba/mpenzi wako avae mavazi ya aina gani ili nafsi yako iridhike na kufurahi?!Kua free kuongelea occasion tofauti kwanzia nyumbani...kwenye majukumu ya kijamii mpaka mnapokua mmeongozana kwenye mitoko ya weekend!
Hizo si ndo zinafanya aitwe mwanaume?? Hahaha nisamehen km nimewakwanza wajamen
Partner naona ile nia ya kumteka mwana JF ndo process zishaanza...lol... I hope nae atasema....lol... Hope uko poa, missed you