cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
Tatizo sio kuweka make up bana, tatizo mnaweka ma make up yasioeleweka, yaani utakuta mdada anaweka lipustiki mpaka kwenye meno khaaaa! sasa hii nini?
hah hah haa hah:biggrin1:
Tatizo sio kuweka make up bana, tatizo mnaweka ma make up yasioeleweka, yaani utakuta mdada anaweka lipustiki mpaka kwenye meno khaaaa! sasa hii nini?
mim sipendi nikiona mbaba kavaa suruale imejikusanyia pale katikati halafu huku kwa chini inakua fupi,wengine wanakumbuka kila mara anaivuta kwa chin mwengine,anaiacha inazidi kujizongorota kadri anavyotembea,ila bora hiyo sbb nadhan inasababishwa na unene,wanaonishefua ni wanaovaa kata k mboxer wote nje aaaagh nataman kuwalamba viboko.
Tatizo sio kuweka make up bana, tatizo mnaweka ma make up yasioeleweka, yaani utakuta mdada anaweka lipustiki mpaka kwenye meno khaaaa! sasa hii nini?
Seen.....!I have no problem with lipstick,eye shadow or make-up as long as it's not too excessive or wrong colour meaning haiendani na rangi ya mhusika.Mavazi nayoyapenda mimi bubble dress,mini skirts and hotpants tukitoka usiku mchana chochote akipendacho yeye lakini kiendane na mwili wake nyumbani avae kaptura loose bila chupi na vest.
Hahaha...kumbe hua hampendi eeeh?!Sasa mbona hamsemi mpaka muulizwe?!Nwy kweli wadada wengine hawajirembi wala kuvaa kwa mpangilio...
Btw kuhusu hiyo post ya wigi kwani siku ile unanitokea hukuona kwamba nna nywele za marehemu wa kizungu!?
Hivi kuna wanaume wanavaa rangi hizi? Michelle hama uswahilini haraka kabla haijakuwa too late.nina tatizo na wanaume wanaovaa suruali za rangi kama kijani,njano,cream,nyekundu,zambarau au nyeupe.....rangi ya suruali ya kiume iwe khaki,dark bluu,nyeusi,kijivu...... rangi nyingine ni so feminine!!!
nina tatizo na wanaume wanaovaa suruali za rangi kama kijani,njano,cream,nyekundu,zambarau au nyeupe.....rangi ya suruali ya kiume iwe khaki,dark bluu,nyeusi,kijivu...... rangi nyingine ni so feminine!!!
nina tatizo na wanaume wanaovaa suruali za rangi kama kijani,njano,cream,nyekundu,zambarau au nyeupe.....rangi ya suruali ya kiume iwe khaki,dark bluu,nyeusi,kijivu...... rangi nyingine ni so feminine!!!
Hivi kuna wanaume wanavaa rangi hizi? Michelle hama uswahilini haraka kabla haijakuwa too late.
nina tatizo na wanaume wanaovaa suruali za rangi kama kijani,njano,cream,nyekundu,zambarau au nyeupe.....rangi ya suruali ya kiume iwe khaki,dark bluu,nyeusi,kijivu...... rangi nyingine ni so feminine!!!
Dearest kusema ukweli hizo rangi sio za suruali kabisaaaaaa....nina tatizo na wanaume wanaovaa suruali za rangi kama kijani,njano,cream,nyekundu,zambarau au nyeupe.....rangi ya suruali ya kiume iwe khaki,dark bluu,nyeusi,kijivu...... rangi nyingine ni so feminine!!!
ni za nini? hii mada inazidi kunoga, lazima niondoke na mchumba leo hapa. enhee tuendelee!Dearest kusema ukweli hizo rangi sio za suruali kabisaaaaaa....
sasa mnataka tuwaapproach na camcorder?, hivi mdada unamwambia simple marangi yako rekebisha au tafuta make up consultant, yeye anaamua kununa na ili kuonesha msisitizo wa kununa anagoma hata kufua makufuli yake. khaaa! tutauwana jamani!Approach Kloro...approach!!
Hapo toa nyeupe na cream ambayo siku moja moja beach sio mbaya lakini njano,nyekundu,zambarau na pink hazifai sio kwa suruali tu hata shati.nina tatizo na wanaume wanaovaa suruali za rangi kama kijani,njano,cream,nyekundu,zambarau au nyeupe.....rangi ya suruali ya kiume iwe khaki,dark bluu,nyeusi,kijivu...... rangi nyingine ni so feminine!!!
naweza kubali if its linen na mwanaume mwenyewe ajue namna ya kuivaliaAsante....
ila white avae napenda kweli yaani, huwa wanaonekana very
smart ila inategemea anina ya kitambaa na the way he can pull
it off na viatu/sandals (in short itapendeza kama ni casual)
asante dearest.....wananipa taabu hata kama hawanihusu.... yaani unakutana na mtu kitu cha kwanza unawaza ku change wardrobe yake....lolDearest kusema ukweli hizo rangi sio za suruali kabisaaaaaa....
NB: ningefurahi ungemjibu NN swali aliloniuliza,manake mimi nimeongelea suruali ye anauliza briefs or boxers? sijamuelewa.