Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,446
- 5,395
Nilikosea kutype mkuu nilitaka kumaanisha kwamba yanadumu badala yanadamuMmm sio gono hilo mkuu 🤣🤣🤣🤣
Nilikosea kutype mkuu nilitaka kumaanisha kwamba yanadumu badala yanadamuMmm sio gono hilo mkuu 🤣🤣🤣🤣
Kwa nini mkuu 🤔.sikupatii picha ww jamaa ukoje kwa akili hzo nizionazo kwenye comment zako zote na hyo aveta yako.
Mtani ukichunguza vizur sio kila mlieachana hakua sahihi…Nyota ,nyota gibberish🚮
Harufu ya ufwala nimenusa hapa, vivulana bhana, jambooo kijanaWe sandra huko daslamu huko uliko,narudia kukuambia kuwa ulimuacha mtu anayekupenda kwa dhati na niko tayari kurudiana na wewe muda wowote, bado nakupenda mwenzio.
Zamani sana kipindi hiko we unacheza rede kijijini kwenu mi nateswa na mapenzi.Ewaaa nasubiri ulete kisa chako
Nilipo zeeka nikagundua, kua ni lazima mambo, vitu au watu wengine waje nakuondoka ni lazima waondoke hata uzuieje, tunza hii kajukuu kangu itakusaidia maishaniMtani ukichunguza vizur sio kila mlieachana hakua sahihi…
Ni alikua mtu mzuri tena sahihi kwako ila kwa muda flan na sio wakati wote. Hii ni theory ya maisha sio kwenye mahusiano tuu. Kila kitu kizuri hakidumu ukaa kwa muda tuu. Japo sio lazima iwe short time, inaweza kuwa mda mrefu ila kitaondoka tuu
😃😃 ikawaje? Elezea kidogoZamani sana kipindi hiko we unacheza rede kijijini kwenu mi nateswa na mapenzi.
Ewaaa umemaliza, mapenzi ni cycling na ukitaka ufurahi usifatilie alietoka. We enjoy yakiisha mwache aendeUzuri mapenzi hayaishi fasheni na watu wameumbiwa kusahau
Unapenda kisha unatendwa unajiapiza hutapenda tena! Halafu unajikuta mtegoni tena! Na tena!
Kinachokera ni kwamba *UKIONA UMEPIGWA KIBUTI UJUE KUNA MJANJA KAPENDWA NA UKIONA UMEPENDWA JUA KUNA FALA KAACHWA!😝😷
Nazungumzia nyota, naweza kuchambulia mpaka NATA chati yako ila ni gibberish tuMtani ukichunguza vizur sio kila mlieachana hakua sahihi…
Ni alikua mtu mzuri tena sahihi kwako ila kwa muda flan na sio wakati wote. Hii ni theory ya maisha sio kwenye mahusiano tuu. Kila kitu kizuri hakidumu ukaa kwa muda tuu. Japo sio lazima iwe short time, inaweza kuwa mda mrefu ila kitaondoka tuu
Bas tu mapenzi yaliisha hisia ziliisha kila mtu akafuata njia zake.😃😃 ikawaje? Elezea kidogo
Kwa nini bwashee 😅Good guys are always cheerful.. Ila tatizo kabila🏃🏿🏃🏿🏃🏿
Hukulia na kusaga meno 😁😁?Bas tu mapenzi yaliisha hisia ziliisha kila mtu akafuata njia zake.
sahihi na relevant kabisa.Mtani ukichunguza vizur sio kila mlieachana hakua sahihi…
Ni alikua mtu mzuri tena sahihi kwako ila kwa muda flan na sio wakati wote. Hii ni theory ya maisha sio kwenye mahusiano tuu. Kila kitu kizuri hakidumu ukaa kwa muda tuu. Japo sio lazima iwe short time, inaweza kuwa mda mrefu ila kitaondoka tuu
Ukitaka dunia uione chungu, mroge mpenziwe wako dawa huwa Zina mwisho, na zikiisha moto wake hauzimiki ndo unasikia taraka na ngumi juu, kijana acha Bora aondoke tu nimeona mengi Yani Kuna muda hadi chakula tu kula mnategeana hofu ya kuwekewa sumu, bado kulala huyu chumbani huyu jikoni.na kulogana juuu
Ebooo ka trekta la muingerezaDuh! Mtani kwaheri😂View attachment 3572793