Mtani yapo na kwa wenzetu ni elimu kabisa na madaraja na tafiti zilizowapa watu uprofesa na PhD lakini sio kama hizi za mchongo za Malawi šUnatoka nnje ya hayo mambo yako ya nyota, hakuna cha nyota ,sijui punda ,mbuzi ,beberu ,nguruwe itakayo kufanya ufanikiwe au mahusiano kudumu
Yaan wee akusumbue mtu mliyekutana wote mna meno 32 na magego juu?Sio kumwendekeza ni bas tuu mm mtu wa kulalama kila kitu hapana[emoji3][emoji3]
Nilikua nazidharau hizi zodiac ila saiv uniambii kitu, ikishasema haya mahusiano ni fire we jua ni Bom. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Issue sio kufanikiwa, ila kikubwa ni kumwelewa mwenza wako positively. Mfano watu wa April hua wanachukia haraka na wanawai kusameheā¦Unatoka nnje ya hayo mambo yako ya nyota, hakuna cha nyota ,sijui punda ,mbuzi ,beberu ,nguruwe itakayo kufanya ufanikiwe au mahusiano kudumu
[emoji23][emoji23][emoji23]Wakati huo ilikuwa ni album za picha na daftari za autobiography
Alikuja na kisu kikali akaanza kuchanachana kila kitu.. Nikatulia tuli..
Alipoona sina reaction akaacha na kuniuliza kwanini hunizuii
Nikamwambia kwa upole kumbukumbu halisi haziwezi kuchanwa kwa kisu labda turudishe wakati nyuma na ku cancel kila kitu
Zile nyakati za furaha
Zile nyakati za hisia kali tukiwa wawili tu chumbani
Tulikoenda pamoja
Tulipokula pamoja..
Akakitupa kisu mvunguni na kuanza kulia.. Kisha nikatia komeo mlangoni nikashusha pazia
Nikaweka mziki wa killing me softly nikamchojoa zote na kuanza kumbebeleza[emoji23]View attachment 3572766
Hakuna uhalisia zaidi ya imani yako tuIssue sio kufanikiwa, ila kikubwa ni kumwelewa mwenza wako positively. Mfano watu wa April hua wanachukia haraka na wanawai kusameheā¦
so ukijua hii inakusaidia kuhepuka maudhi kwa mwenzio.
Kudumu kwenye mahusiano ni issue nyingine, ila amini kama binadamu ana mwisho bas hata mapenzi hua yanafika wakat yanaishaššš
Wachaa wee!![emoji1548][emoji173]View attachment 3572772
[emoji23][emoji23][emoji23]Bongo hatuachani tunapumzishana, ukilewa brutal zako mbili unaenda kufata mtandio wako uliousahau..!! [emoji81][emoji81][emoji81]
Mimi sio mapenzi tuu hata kazn inanisaidia kuishi na watu.. kuna watu ukishawasoma walivyo huna haja ya kubishana nao maana kwa asili yake hutoshinda šššMtani yapo na kwa wenzetu ni elimu kabisa na madaraja na tafiti zilizowapa watu uprofesa na PhD lakini sio kama hizi za mchongo za Malawi š
Ulaya America kote huko ndoa zina migogoro Africa cha mtoto , hizo elimu za nyota ni imani tu hazina impact yoyoteMtani yapo na kwa wenzetu ni elimu kabisa na madaraja na tafiti zilizowapa watu uprofesa na PhD lakini sio kama hizi za mchongo za Malawi š
Hayajakukuta, huu moyo ukiamua kupenda unaweza jishangaa hata wewe ššYaan wee akusumbue mtu mliyekutana wote mna meno 32 na magego juu?
Aaah wapiii wee! [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kitu kama hicho ,hizo ni imani tu .Mimi sio mapenzi tuu hata kazn inanisaidia kuishi na watu.. kuna watu ukishawasoma walivyo huna haja ya kubishana nao maana kwa asili yake hutoshinda ššš
na kulogana juuuShida inakuja kama mlichanjiana damuš
Yan daima tambua migogoro ni sehemu ya maisha. Ila usisaau mahusiano yanaweza kudumu hata mapenzi yakiishaā¦Ulaya America kote huko ndoa zina migogoro Africa cha mtoto , hizo elimu za nyota ni imani tu hazina impact yoyote
Mimi nimeamua kuamini na inanisaidia sana,Hakuna kitu kama hicho ,hizo ni imani tu .
Nyota hazina impact ni imani tu kama zilivyo nyingine, sasa kama ni hivyo hizo nyota zenu zimesaidia kitu ganiYan daima tambua migogoro ni sehemu ya maisha. Ila usisaau mahusiano yanaweza kudumu hata mapenzi yakiishaā¦
Hii tunaishi hata leo, ndoa kibao wanaishi pamoja ila ndani wameachana na kila mtu ana mtuwe nje⦠sasa hii ni bora au bora kuachanaš¤·š½āāļø
Hakuna cha nyota sijui ya nguruwe chapa kaziMimi nimeamua kuamini na inanisaidia sana,
Unajua nyota ni kwa ajili ya maisha na si kitandaniš ukitegemea nyota mpaka kwenye jihad ya kanyama utafeli big timešUlaya America kote huko ndoa zina migogoro Africa cha mtoto , hizo elimu za nyota ni imani tu hazina impact yoyote
Hazina faida ni kama maombi tuUnajua nyota ni kwa ajili ya maisha na si kitandaniš ukitegemea nyota mpaka kwenye jihad ya kanyama utafeli big timeš