Asikudanganye mtu bora ndoa za kuachana kuliko ndoa za wazee wetu, walikua wanachapiana vibaya mno… unakuta familia ina watoto 9 ila wawili ni wa nje na hio siri anajua mama na baba. Kitakachostua ni ubaguzi wa chinchin…. Wanajipoza kwa msemo ‘kitanda hakizai haramu’Wazee wetu walichukuana na wamedumu , ndoa ulaya America kila siku zinavunjika , hakuna cha nyota wala kitj gani ,ni mifumo ya maisha tu imebadilika na hakuna mtu yupo tayri kuvumilia ujinga wa mwingine
muachano wa kuachana kwa laana na kulogana juuuUliacha au uliachwa? Kwanini?
Mliachana? Kwa vurugu au kimyakimya?
Uliachwa na faida au na hasara?
Mlijaribu kurudiana? Mliweza?View attachment 3572743
Mkuu hii imetoka moyon mtafute sandra aiseeWe sandra huko daslamu huko uliko,narudia kukuambia kuwa ulimuacha mtu anayekupenda kwa dhati na niko tayari kurudiana na wewe muda wowote, bado nakupenda mwenzio.
Asikudanganye mtu bora ndoa za kuachana kuliko ndoa za wazee wetu, walikua wanachapiana vibaya mno… unakuta familia ina watoto 9 ila wawili ni wa nje na hio siri anajua mama na baba. Kitakachostua ni ubaguzi wa chinchin…. Wanajipoza kwa msemo ‘kitanda hakizai haramu’
😹😹😹 Hapana narudisha mali zangu, atakaaje na mtandio wangu sasa??Ili upashe kiporo!?🥱 vingine vimechacha ujue😎
Unatoka nnje ya hayo mambo yako ya nyota, hakuna cha nyota ,sijui punda ,mbuzi ,beberu ,nguruwe itakayo kufanya ufanikiwe au mahusiano kudumuAsikudanganye mtu bora ndoa za kuachana kuliko ndoa za wazee wetu, walikua wanachapiana vibaya mno… unakuta familia ina watoto 9 ila wawili ni wa nje na hio siri anajua mama na baba. Kitakachostua ni ubaguzi wa chinchin…. Wanajipoza kwa msemo ‘kitanda hakizai haramu’
sandra ameniachia kidonda ambacho hata iweje hakiwezi kupona,maana si kunyonya kule.Mkuu hii imetoka moyon mtafute sandra aisee
Kabisa, mimi daima ntaziponda sana ndoa za zamani maana zilikua ni maumivu kwa wote… Unakuta baba anapata safar anaacha hakuna mimba ila baada ya mwaka anarud anakuta kuna mtoto ananyonya na hana cha kufanya anatulia maskin😀😀😀View attachment 3572782waliitumia Sana hiyo kanuni
Don't try this with Gen ZKabisa, mimi daima ntaziponda sana ndoa za zamani maana zilikua ni maumivu kwa wote… Unakuta baba anapata safar anaacha hakuna mimba ila baada ya mwaka anarud anakuta kuna mtoto ananyonya na hana cha kufanya anatulia maskin😀😀😀