Maumivu ya mapenzi

Maumivu ya mapenzi

Hazina faida ni kama maombi tu
Duh! Mtani kwaheri😂
f84febc5-9de3-46f8-b6e5-753dec53f23d.jpeg
 
Nyota hazina impact ni imani tu kama zilivyo nyingine, sasa kama ni hivyo hizo nyota zenu zimesaidia kitu gani
Kupendana sio lazima kuzeeka pamoja.. Wazungu walisema Enjoy while it lasts.. mtu anaweza kuwa sahihi kwako kwa wakat flan ila baada ya jambo flan akabadilika au ukabadilika na ile bonding na usahihi ukapotea kati yenu. Usilaumu kuachana na kutodumu maana ni from within uwez bet upendo wa mtu ikiwa moyo wake uuoni
 
Kupendana sio lazima kuzeeka pamoja.. Wazungu walisema Enjoy while it lasts.. mtu anaweza kuwa sahihi kwako kwa wakat flan ila baada ya jambo flan akabadilika au ukabadilika na ile bonding na usahihi ukapotea kati yenu. Usilaumu kuachana na kutodumu maana ni from within uwez bet upendo wa mtu ikiwa moyo wake uuoni
Nyota ,nyota gibberish🚮
 
Nilimuacha; sababu siku moja tukiwa naked kabla ya tendo mimi nilianza kuimba "show me the way I can go..." (By Papa Wemba), kisha yeye kwa utukutu alinionesha ule mlango mwengine.

Nikamwambia sina jadi ya kuchimba mbolea (samadi), nikamwachwa.
sikupatii picha ww jamaa ukoje kwa akili hzo nizionazo kwenye comment zako zote na hyo aveta yako.
 
Yan hata bure simtaki🤣🤣… Tena mtu aliezaliwa March/April simtaki kabisaaaa…. Hawa watu kubishana hadi asubui sio kitu cha kushangaa kwao🤣🤣🤣🤣
Kijana unaniangusha mambo madogo hayo, Usha panic mchezoni inasikitisha sana, mi bibi yenu nilimwambia sitaki maneno ni vitendo tu, akileta zake, namtoa nje tunachapana weeeeee, mpaka basi
 
Back
Top Bottom