Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

wewe hivi umesoma kilichoandikwa au umekurupuka toa usingizini..kawatwangwa wote sasa watapetea wapi au ulikuwa unamaanisha watapetea kuzimu

we ndo hujaelewa, mchumba wake kapona alipigwa yapaja ila dada yake na huyo demu na mtu mwingne ndo wamekufa ila huyo mume mwenzie ndo yupo huko out you heard!
 
Maana hivi vibuti vya kuambiwa na bint kuanzia leo mim na wewe basi,au naomba tusitishe uhusiano,nshaambiwa sana,ila huwa siumii au kujutia kwakua nakua sijapenda,sasa ndo nawaza naambiwa hivo halafu ndo nshwekeza moyo na pesa,nadhan hadi leo moyo ungekua na viraka,,,,,


Maturity ndio hiyo sasa mpwa!!!!!!!
Tofauti ya uvulana na uanaume kwa maoni yangu ni pamoja na kuweza kutenganisha hisia na uhalisia!!!!!
 
Maturity ndio hiyo sasa mpwa!!!!!!!
Tofauti ya uvulana na uanaume kwa maoni yangu ni pamoja na kuweza kutenganisha hisia na uhalisia!!!!!
mapenzi ya kwenye filam ndo yanatuangamiza sana,wale wanaigiza sie tunawaiga,,,,mxiuuuuu,
 
kusomesha mwanamke noma labda we mkeo na hata akiwa mkeo vyuoni huko sio salama

Ni kweli vyuoni ni balaa kwa mwanamke hasa mke wa mtu.LAZIMA agegedwe tu! kama sio walimu basi wanachuo wenzake.Hii haina ubishi!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kinachonisikitisha ni demu bado yupo hai.

ila uyu jamaa nae alikua na kitete au nini?
kapiga risasi 10 lakin kaua. 1? na yeye wa pili?
his mission was one and one only, kill em all.

tofauti sana na wezi, ambao ni wanaiba na kitakiwa kutoroka eneo la tukio.
 
nitamsomesha mke wangu wa ndoa tu hawa wengine tutaishia kutumiana vocha
Mkuu kama unapenda msomi kwanini usitafute aliyesoma kabisa maana wapo, kuliko hizi stress, na kama ulimpenda kwa elimu ndogo yanini ujisumbue tena kumsomesha, mambo yamekuwa hovyo hovyo so tahadhari ni muhimu, kabla ya hatari.
 
Nafikiri hata wewe umekurupuka kidogo mkuu habari ni kuwa jamaa na msichana wake wamepona hivi sasa wapo MOI wanapewa matibabu daraja la kwanza hivyo wamepona ingawa cha moto wamekiona. Na kama wanatabia hizi ni wazi watamwagana
Soma hapa : Mauaji Dar - Kitaifa - mwananchi.co.tz
asante mkuu kwa kuniweka sawa hii ndiyo JF ukukurupuka unapewa makavu.nimekuwa mpole
 
Bottom line do not invest to either woman or man if you do not have any marital commitments!!! It is a crime!!!! Sin!!!! Sin!!! Do not ever try this!!!!! We learn through mistakes!!!! Mushi and Munisi have done it all!!! Lessons!!
 
hii inasikitisha sanaa, kuna jamaa yangu nae hii kitu imemtokea tena jamaa alikuwa tayari kishatangaza na ndoa baada ya kumsubiria na kumsomesha mpenziwe huko ughaibuni, uingereza na demu kurudi analeta kasha za kidhuuungu kingi ooh, wait, wait .... wait, jamaa kwenda home na kufanya li party kubwa ila demu alikuwa kama hayupo vile mara ya mwisho, ndio jamaa kamkodia appartment mikocheni demu mara kaenda anamkuta msela anamega, jamaa alitoka pale na kuendesha gari kwa spidi na kuingia mtaroni alafu akajikuta muhimbili na anavyuma kwenye miguu.. Jamaa mpaka sasa kawa mlevi na full kushinda jolly, kinondoni kuchukua wanajiuza na sasa nafikiri soon ukimwi utamkuta kisa cha malaya DORICE..... so saad, kina dada emu tuoneni HURUMA SIE watoto wa wanawake wenzenu cz hela hii ngumu kweli kuitafuta alafu nyie mnakula bureee na unasomesha, unamwaga mshikaji...!!
 
Hatakama umeoa ndugu hawajamaa ni kunguni ukigusa2 ananuka labda awe mchamungu sana bilahivyo subiribalaa utauwa.

Dah!! Mkuu unanikumbusha miaka michache iliopita kwa kisanga kilichotaka kunipata kwa hao unaowaamini wacha mungu. Mkuu, nilioa mwanamke niliedhani mcha mungu kumbe alificha sumu ndani ya huo ucha mungu.Mkuu kisa changu kirefu. Kwa kifupi Niliwahi kutaka kudhulumiwa na aliekuwa mke wa ndoa,alieokoa jahazi alikuwa mume mwenzangu ( mume wa mdogo wa mke wangu) ambae ni mjeda, ndio aliniuzia tambara kuwa mipango inasukwa ili ntiwe ndimu na mke wangu.Na yeye aliuziwa tambara na mkewe ila aliambiwa afanye Siri asiniambie.Lkn mzee wa watu yule nafsi ya huruma ikamsukuma kuniambia, sikupata tabu kuamini nilichoambiwa maana tulikuwa hatua za mwisho mwisho nimkabidhi biashara zangu mke wangu asimamie na yeye mke wangu ndie alikuwa kila siku anaomba nifanye hivyo badala ya ndugu zangu( nilipomuoa allinikuta tayari nipo vizuri)kumbe alikuwa na akili nyingine kichwani.Mkuu kisa changu kirefu ila kwa ufupi hakuna muaminifu ktk mambo ya Mali kwa hawa watu. Mimi sina bunduki, ila laiti angefanikiwa ambacho alikuwa ananuia kunifanyia ningetawanya kichwa chake kwa shoka. Tulikuwa tuna tabia kila nikija TZ ( nipo ughaibuni napiga box) tulikuwa tukienda kwao (Arusha) kusalimia wazazi wake, pale kwao kulikuwa na shoka lililokuwa lipo tu nje kwa ajili ya kutumia kuchanja kuni za kuchemshia maji msimu wa baridi.lile lingetumika kuleta heshima na wala nisingejiua wala nisingekimbia. Ningejisalimisha tu kwenye Vyombo vya usalama. Mkuu, hawa watu uwaone kama walivyo tu, lakini sio kabisa.
 
Baada ya wazungu waga nawakubali sana wachaga na kwa hii trend ndo nimezidi kuwakubali, mmefungua njia, ila mjifunze shabaha.

r.i.p mushi n munisi

die slow ufo n christine (whateva she's called)
 
ni christina nando na marehemu mdogo wake ni alfa....nimekuwa shocked sana sababu ni jamaa zangu....mungu awalaze marehemu mahali pema peponi na awatie nguvu majeruhi...


mkuu hebu nifafanulie..kati ya waliofariki umesema ni alfa newa aliyewahi kufanya kazi benki mbalimbali hapa dar mpaka zanzibar??
 
Hamna kosa kubwa kama kumsomesha either mke au hawara. Madhara yake ni makubwa sana.
 
Back
Top Bottom