Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

Mauaji ya watu 3 Ilala - Dar

Matatizo ya nini jamani. Wanawake wapo wengi tu mitaani. Mpe mimba then unamwambia shida yangu ni mtoto tu. Twende mahakamani tuandikishiane ukijifungua nakupa milioni 15 then mtoto unaniachia niwe nakaa nae mimi. wewe utakuja siku mojamoja kumwangalia. Ukiamua kuolewa poa ila mm sitakufuatilia mama xyz eeeh m15 hizo. Yan kama unaenda kununua GX100.
 
lakini bado kuua sio solution, nadhani ni kulizika kwa kila jambo, mwanaume unatakiwa kuwa tayari kwa kila jambo...au mwanamke pia, maana yakitokea kwa upande wa pili, wanawake wao hujiua wenyewe bila kumdhuru wenzake
Basi tuseme kwamba watu wanamiss maandalizi ya dhoruba lolote litokealo kwenye issue ya mapenzi,mapenzi haya ya leo tatizo yametawaliwa na pesa,mkuu yalishanikuta acha kusema mimi mwanamke alinikimbia yaani kidogo inafanana na ya mwanamke wa uturuki.
 
'A woman's heart is a deep ocean of secrets' - Quote toka mahali.

Kama ni kweli huyo shostie alimtenda huyo kaka hivyo kafanya vibaya sana, alimuumiza kupita maelezo na ukizingatia mkaka alikuwa na malengo nae na mdada alifahamu hilo vilivyo.

Jamani wakaka, nina amini kwa hizi familia zetu tuna hata ndugu wa kuwaendeleza kielimu na kuwasaidia. Muache kuwasomesha watoto kike wa watu, iwe kwa kujitolea au kubembelezwa. Naelewa muda ni mwingi hii inafayika sababu ya upendo ila mambo yakibadilika inafadhaisha sana na matokeo yake mara nyingi si mazuri.

Muhimu ya yote, tuwe wakweli kwenye mapenzi hata ukichukiwa. Tusidhulumu au kukubali kufanyiwa kitu kwa kujifanya tunapenda kumbe tunachezea watu akili zao.

Belinda!!
 
haya mapenzi yatatumaliza jamani hawa wanawake mbona wanakuwa wabaya hivyo???!
 
Mkuu embu tuhadithie kisa chako ili kitusaidie sisi ambao bado hatujaoa,nakuomba kwa hlo
 
Bunduki zipunguziwe masharti ili wengi zaidi tuzimiliki. Zinaleta heshima sana. Wenye hela mnatugongea sana mademu zetu. Vijana wachochole (hali ya kati) tunapata wakati mgumu sana kuoa maana dada zetu wachochole mmewaharibu sanaa. Kova we need more Gunz. Nasikia kigoma, mara, kagera zinapatikana kwa buku hamsini.
Sema wanakosea wanapoamua kujiua, inabidi wabaki ili watupe mkasa mzima.

kigoma hata smg unapata kwa laki moja! Ila kova akikuona nayo utasikia 'gwaride la utambuzi limepita tumemtambua alishiriki wizi wa benk. . .' utapewa kesi nyingiiii
 

Majeruhi wa tukio la mauaji ya wivu wa mapenzi, Francis Shumila, akiwa chumba cha dharura Taasisi ya Mifupa (MOI), Dar es Salaam leo asubuhi, muda mfupi baada ya kufikishwa toka eneo la tukio Klabu ya Wazee Amana Ilala,alikoshambuliwa na mfanyabiashara wa jiji la Mwanza, Gabriel Munis aliyetaka kumuua anayedaiwa kuwa mpenzi wake Christina Alfred,lakini akamuua dada ya mpenzi wake huyo, kujeruhi watu watatu na kisha kujiua kwa kujipiga risasi.
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]Gari namba T 537 CJY aliyokuwa amepanda mpenzi
wake huyo pamoja na jamaa zake inavyoonekana
baada ya kushambuliwa na risasi.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Wengi humu mnasema usiwekeze kwademu bora mke,mm nasema HAPANA usiwekeze kwa wote, nimeuza nyumba zangu mbili kuanzisha mradi,mke wangu wa miaka 15 ameendesha magari mazuri mnayoyajua hapa mjini,katombwa na kula kulala kamuajiri kwa miradi yetu,ati anaitwa meneja,kazalishwa bado tu yuko kwangu,nimegundua nimetupa kuleeeeeeeeeeeeeeeeeee!!
 
Wengi humu mnasema usiwekeze kwademu bora mke,mm nasema HAPANA usiwekeze kwa wote, nimeuza nyumba zangu mbili kuanzisha mradi,mke wangu wa miaka 15 ameendesha magari mazuri mnayoyajua hapa mjini,katombwa na kula kulala kamuajiri kwa miradi yetu,ati anaitwa meneja,kazalishwa bado tu yuko kwangu,nimegundua nimetupa kuleeeeeeeeeeeeeeeeeee!!

Mmmhhh is it true? mpaka kuzalishwa? huyo nae kwa nini anachanganya damu, si vizuri kuchanganya watoto, japo anachit lkn kuzaa iyo ni big no..
 
Hayo ndo madhara ya kugawa bastola kama njugu,hadi inafikia hatua hadi matahira wanapewa

mwekundu angalia kauli yako bro. kilichompata mushi na minisi ni ugonjwa wa msongo wa mawazo. unaweza mpata mtu yeyote. timshukuru tu mungu
 
ahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaa_tuko wengi,...mimi kapo kabinti kanasema eti nikanunue music system,..nimekatema kanalia tena,..sema mimi mwenyewe sura ya kokoto wala sijali kitu

Chezea sura ya kokoto....my ribs
 
Back
Top Bottom