masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,119
Ha ha ha!!Bora Zito anavyolindwa
Nimecheka mpaka basi!
Ha ha ha!!Bora Zito anavyolindwa
Daah RIP Gabriel Munisi
Gabriel Munissi
September 18 via mobile
Najua mtasema sana ila hakuna anaejua ukweli zaidi yangu mm muhusika na najua wazi mengi mtawaza na hamtopata majibu yake.... (Remember all things are possible)
18Share
Stori za mbuzi kwenye gunia nani anataka,huo ushamba wenu za zamani zeekeni nao nyie wenyewe
He yale yale ya Ufoo
Tunaishi kwenye generation yenye changamoto nyingi sana. Hizi pistol ni afadhali kuziuza tu na kubaki na shotgun huwezi kutembea nayo.
Matokeo ndio hayo, mnauana kama mahayawani. Msiikaribie zinaa, hamsikii.
Spirit ya kiarabu hii " IF YOU HURT ME, I KILL YOU AND I KILL MYSELF"
Chezea sura ya kokoto....my ribs
mwekundu angalia kauli yako bro. kilichompata mushi na minisi ni ugonjwa wa msongo wa mawazo. unaweza mpata mtu yeyote. timshukuru tu mungu
mimi siwezi kukubaliana na wewe,hivi wewe hujawahi kupata msongo wa mawazo? so far hamna dini hata moja imeruhusu mtu kujiua ni dhambi kubwa na haramu sana...which means the knew kuna wakati unaweza pata stress zipo njia halali za ku release stress-ukikubaliana na hiyo hali which means una promote wenye stress za mapenzi wote wajiue.!!kwenye MMU mara ngapi watu wanaleta mada wamebambikiwa watoto?au wame cheatiwa ingekua solution ni SUICIDE kweli dunia ingebaki?hembu takakari hapo kwanza kisha unipe jibu!!!
Kila mtu ana mahakama yake ya kichwa!!!!
====
By Nyati![]()
![]()
Nafikiri hata wewe umekurupuka kidogo mkuu habari ni kuwa jamaa na msichana wake wamepona hivi sasa wapo MOI wanapewa matibabu daraja la kwanza hivyo wamepona ingawa cha moto wamekiona. Na kama wanatabia hizi ni wazi watamwagana
Soma hapa : Mauaji Dar - Kitaifa - mwananchi.co.tz
====
asante mkuu kwa kuniweka sawa hii ndiyo JF ukukurupuka unapewa makavu.nimekuwa mpole
Naona hiyo itakuwa papuchi ndiyo imeleta balaaHata mimi nimefanya utafiti zaid na kugundua kuwa kumbe jamaa aitwaye Francis aliyepigwa risasi baadaye alikufa. lkn pia kumbe siyo aliyeingilia penzi la Munisi bali jamaa mwingine ambaye labda atafahamika baadaye, huyu mkenya alikuwa "at the wrong place at the wrong time". Kitu kinachonishangaza ni kuwa huyo msababisha maafa siyo mzuri ki-hivyo maana naona wa kawaida sana na umri umeenda. Sasa huyu kijana - Munisi kama angekuja kwangu nikamchongea "Salary slip ya like Tsh 2M take home" mbona angepata binti wa hali ya juu tu hapa mjini kuwa mbadala wa huyo Christina?
Nina picha zake ktk angle tofauti lkn kwa ajili ya privacy yake huyo binti sitaziweka ingawa zimenisaidia ku-conclude with 97% confidence interval kuwa binti hana uzuri wa kusababisha maafa haya, Labda kama kuna kitu kingine. pia ktk utafiti wangu nimegundua kuwa wote Xtina na marehemu Alpha walikuwa wana JF